Lengo na kilichofanyika ni vitu viwili tofauti.
Wito ulitolewa ghafla na haukuwa na madhara kwa maana waliitwa kwa lengo jingine kabisa lakini walivyofika wakaganizganga ngwa na sport light ya maana kuwa #Mama amefurahia sana uwepo wao kama wanawake wenzake ,kabla hawajahoji zaidi wakaambiwa waorodheshe majina maana kutakuwa na heshima ya viremba wakati hayo yanaendelea watu wa itifaki wakatimiza lengo la msingi , tafadhali tujiandae kupokea Mama ,kufumba na kufumbua wakajikuta tayari wanavitu mikononi na wapiga picture from no where wakiendelea na zoezi lao ,mwisho wa siku kilichofuata ni ITV.
Masister wa watu walikuwa well principled lakini wahuni ndiyo wakawaingiza kwenye 18 bila wao kujua .
Wanakuja kustuka game ishaisha kitaaambo.
Mama anajua kuwa hapendwi na hata zunguka yake ishatoka kwenye lengo la kutafuta kura , akifanyacho kwasasa nikutafuta matukio ya ushahidi kuwa aliungwa mkono na watu wa makundi yote , msisahau nawenyewe wanakuwaga na ugeni wao ambao wengi wao hawanaga muda wa kutisha wa kuyafuatilia ya mitandaoni so anajua wakiwa Ikulu na akifanikiwa kumuonyesha tu matukio katika picture then game over .
Anyway ......
ila CCM Mungu anawaona .