Hayo ndiyo maisha ya kimjini mjini Tamthiria nyingi sana kila demu yeye ni mjanja tu hata kama mporipori. Yaani kila demu anatamani kubinua maziwa na nguo za kukaa uchi hasa zinazobana masaburi..................... tazama kaka Mia hiki ni kizazi kile ambacho kilitajwa kizazi cha laana na uzinzi na uasherati yaaani tabu tupu.