fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,108
Habari zenyu wadau,long time sijatupia uzi ila leo ninao,tusaidiane!!
Kuna binti rafiki yangu,tumefahamiana kitambo sana hivyo awapo na lolote huwa ananishirikisha,tunaishi mji mmoja!!aliisha olewa kipindi cha nyuma ila mungu kwa mipango yake hakumpa nafasi binti huyu kufurahia ndoa yake takatafu waliyoifunga kikatoliki,baada ya kama miezi 3 ya ndoa Mungu alimchukua mumewe kipenzi katika ajali mbaya ya gari akiwa safarini Mbeya kikazi,bila shaka wote tunapata picha hali aliyokuwa nayo binti huyu,siwezi kuielezea!!Hawakuwa na mtoto.
Okey,miaka mitatu sasa imepita,mungu amempa uwezo wa kuyashinda maumivu,majonzi na upweke na sasa anahitaji kuendelea na maisha tena,amepata kijana ambaye wamependana kwa dhati,wanapanga kufunga ndoa,ishu inakuja katika pete zake za awali,tatu ukijumlisha na ya marehemu mume wake na zote anazivaa katika kidole chake,of course ni pete nzuri kwani ile ya ingejimenti ni ya gold na imenakishiwa na tanzanite(4 carats) na zile mbili ni white gold(3 grms kwa kila moja)
Sasa anawaza,
Je wakati ukifika ampatie huyo bwana mpya pete zote hizo ile wasinunue zingine na hatimae pete hizo hizo zijirudie katika vidole vyake na ile moja amvalishe mumewe siku ya ndoa?au huyo bwana anunue zingine?na kama akinunua zingine hizo za awali azifanyie nini?
Tusaidiane mawazo ili mjumbe mimi nipate cha kumshauri,asanteni:spy:
Kuna binti rafiki yangu,tumefahamiana kitambo sana hivyo awapo na lolote huwa ananishirikisha,tunaishi mji mmoja!!aliisha olewa kipindi cha nyuma ila mungu kwa mipango yake hakumpa nafasi binti huyu kufurahia ndoa yake takatafu waliyoifunga kikatoliki,baada ya kama miezi 3 ya ndoa Mungu alimchukua mumewe kipenzi katika ajali mbaya ya gari akiwa safarini Mbeya kikazi,bila shaka wote tunapata picha hali aliyokuwa nayo binti huyu,siwezi kuielezea!!Hawakuwa na mtoto.
Okey,miaka mitatu sasa imepita,mungu amempa uwezo wa kuyashinda maumivu,majonzi na upweke na sasa anahitaji kuendelea na maisha tena,amepata kijana ambaye wamependana kwa dhati,wanapanga kufunga ndoa,ishu inakuja katika pete zake za awali,tatu ukijumlisha na ya marehemu mume wake na zote anazivaa katika kidole chake,of course ni pete nzuri kwani ile ya ingejimenti ni ya gold na imenakishiwa na tanzanite(4 carats) na zile mbili ni white gold(3 grms kwa kila moja)
Sasa anawaza,
Je wakati ukifika ampatie huyo bwana mpya pete zote hizo ile wasinunue zingine na hatimae pete hizo hizo zijirudie katika vidole vyake na ile moja amvalishe mumewe siku ya ndoa?au huyo bwana anunue zingine?na kama akinunua zingine hizo za awali azifanyie nini?
Tusaidiane mawazo ili mjumbe mimi nipate cha kumshauri,asanteni:spy: