Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema…?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Hujui hata maana ya umma mpuuzi wewe
 
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema…?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Wazazi wako ana hasara tupu.
 
Chadema kwishlia mbali, truth to be spoken.
Asanteni watanzania mmeamka, mnajitambua, je mnaihitaji Mbeya dumavu au Mbeya inayosonga mbele kwa kasi, uchaguzi upo vichwani vyenu, mkosee na Mbeya isimame kwa miaka 5,au mpatie na isogee mbele!
Je mnataka Mbeya ya kuchambana na maneno ya kanga au mnataka Mbeya ya maendeleo kwa vitendo!
 
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema…?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Chadema ilisha jifia ndiyo maana mbowe alikubaliana na samia kuwa wasiruhusu chama kipya kusajili maana wanajua kuwa watz wamesha vipuuza vyama vyote vya wapumbavu kikiwemo ccm na chadema
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu ni wapumbavu kupita kiasi!

Yaani badala ya kuangalia watu wanaandamana kwa sababu gani, mtu anakaa kuona ni idadi gani ya watu wanaandamana!

Na utashangaa aliyeandika huu uzi ni kiongozi mkubwa kabisa anayetegemewa na Taifa!

Bado tuna safari ndefu sana kama Taifa.
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu ni wapumbavu kupita kiasi!
Yaani badala ya kuangalia watu wanaandamana kwa sababu gani, mtu anakaa kuona ni idadi gani ya watu wanaandamana!!
Na utashangaa aliyeandika huu uzi ni kiongozi mkubwa kabisa anayetegemewa na Taifa!
Bado tuna safari ndefu sana kama Taifa.
Idadi ya watu Ilikuwa kubwa sana Mkuu
Huyu aache kupotosha..
 
Nafikiri kuna point moja ya msingi ambayo haisemwi pande zote, hayo ni maandamano na sio mkutano wa kisiasa.

Ukifika wakati wa mikutano ya kisiasa ndipo hoja za namna hii zitakuwa na mashiko.
 
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema…?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Kanuni inasemaje kuhusu idadi ya mafanikio ya maandamano? Umetuuliza tupe mwongozo, pia hatukuwepo kabla na baada ya mvua kunyesha na huo ni mkusanyiko wa njia zote za maandamano? Na huenda hapo waandamanaji walikuwa wanaanza kukusanyika pia hapo si Uyole.
 
Baadhi ya Watanzania wenzetu ni wapumbavu kupita kiasi!
Yaani badala ya kuangalia watu wanaandamana kwa sababu gani, mtu anakaa kuona ni idadi gani ya watu wanaandamana!!
Na utashangaa aliyeandika huu uzi ni kiongozi mkubwa kabisa anayetegemewa na Taifa!
Bado tuna safari ndefu sana kama Taifa.
Hatuwezi fanikiwa kwa maandamano kama hoja haijaeleweka ama kupokelewa na jamii
 
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema…?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Tusiandike mate,muulize Biteko ndiye atakupa jibu sahihi. Mnahangaika sana nyie vijibwa vya uvccm
 
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Watanzania wengi hawaelewi walikotoka,waliko Wala wanakoelekea.

Umeme hakuna, dollar hakuna, sukari hakuna, maji hakuna, ajira hakuna, vitu vyote bei juu.

Hata wakiandamana watu wawili wanatosha kuonyesha uhalisia.

Roma haikujengwa siku Moja.
 
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya chadema?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287

Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.

Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.

View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294

Je itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?

Leta maoni.
Wewe endelea kupiga punyeto tu ukidanganya uko na bonge la demu.
 
Back
Top Bottom