CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 21,093
- 41,366
Kwa mtu mwenye akili za kushikiwa pale lumumba anaona hivyo. Ila mjue gari limeshawaka hilo ni mwendo mdundo huwezi kuzuia mafuriko kwa mikonochadema kubalini mmeteleza rafiki zangu
Kwa mtu mwenye akili za kushikiwa pale lumumba anaona hivyo. Ila mjue gari limeshawaka hilo ni mwendo mdundo huwezi kuzuia mafuriko kwa mikonochadema kubalini mmeteleza rafiki zangu
Sasa hiz wewe si umezipiga kwa ukaribu chief..Aerial ndio mpango mzima hapo kilankitu kiko waz kama alivyoweka mtoa mada.
Kila nikiandika nafuta.
Hii ni hoja ya msingi...Watz ndio tujitathmini.
..Matatizo yetu yatatatuliwa na nani?
..Ni lini Ccm itaheshimu na kusikiliza wananchi?
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya CHADEMA?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287
Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.
Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.
View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294
Je, itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?
Leta maoni.
Kama kilichoonyeshwa ni kweli basi chama kimechoka mnoNaomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya CHADEMA?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287
Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.
Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.
View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294
Je, itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?
Leta maoni.
Duuh yamedoda balaa. Watanzania wamewapuuza. Watu kidogo namna hiyo?Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya CHADEMA?View attachment 2910284
View attachment 2910285
View attachment 2910287
Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.
Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.
View attachment 2910289
View attachment 2910290
View attachment 2910291
View attachment 2910292
View attachment 2910293
View attachment 2910294
Je, itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao upya …?
Leta maoni.
Hii ni picha ya mwaka 2015 acha ubwege wewe.
Weka hapa tujue kiwango cha majority ni wangapi, duniani tunaishi kwa viwango.Maandamano yakikosa watu ujue hayana ajenda ya majority support ni ajenda za watu wachache
Ingia CHADEMA MEDIA ujionee mwenyewe.ahahahahahahaha kitengo cha mawasiliano chadema ni bure kabisa hata kuwa na camera zenye hadhi imeshindikana au ruzuku aliyokula Mwenyekiti ndani yake kulikuwa na hela za camera…?
Hii ni hoja ya msingi.
Ni dhahir sisemu hawana mpango wala akili ya kutatua matatizo yetu watanzania. Chadema nao vile vile huoni kabisa wakiwa serious na kile wanafanya. Wanajarib jarib tu lakin ukichunguza jnaona kabisa hawana better plan..wanafanya mambi kimazoea
Hapa mtazamo wangu ni tofaut kidog, nafikiri kinachoribu nchi yetu ni imani walio nayo wananch wengi juu ya ccm , kwamba hakuna chama kingine nje ccm kinachoweza ku perform mabadiliko...kinachoharibu nchi yetu ni imani waliyonayo Ccm kwamba hawawezi kutolewa madarakani.
Afadhali wewe unakubali ukweli.Wenzako wanajaribu kufunika jua kwa ungo.Mkuu! Umuhimu ni kufikisha ujumbe!
Ulaya wanaandamana hata watu mia lakini ujumbe unazifikia mamlaka husika.