Je, hii adhabu inanifaa?

Je, hii adhabu inanifaa?

Sawa basi hapo ni kumuomba mama yako kwa utaratibu ajue umejua umekosa na kutubu hivyo utaitwa kwenye majadiliano kama na mtapata suluhu.

Mzazi inamuuma maana anaona amevunjiwa heshima kwa namna moja ama nyingine na pia anaona hauko makini kwenye masuala yako ya elimu maana mapenzi na elimu kwa level hiyo ni mafuta na maji.

SawA brother
 
Pole kwa matatizo yaliyo kukuta japo ni ya kujitakia, kwenye thread yako unasema mmezaliwa watoto watatu (3), wa kike wawili na mmoja (wewe) wa kiume na kwa sasa una umri wa miaka 22 na Baba yenu alishatangulia mbele ya haki tangu ukiwa Form III. Tatizo kubwa nililoligundua kwako wewe umeshindwa kujikubali na sasa unatafuta huruma (Sympathy) kupitia watu mbali mbali badala ya kutumiza wajibu wako (Japo umekubali kosa).

Kwa umri ulionao ulitakiwa kutambua kuwa mama yako ni mjane na ujifunze kuhusu changamoto zinazowakabili wajane. Wewe kama mtoto pekee wa kiume ulitakiwa umsaidie mama yako kutatua changamoto na kero mbalimbali za kimaisha huku ukijikita vema katika masomo yako na kuachana na starehe za muda mfupi (Maana mshika mbili moja humponyoka).

Badala yake wewe ndiyo umeenda kuyazua kwa kuendekeza starehe za muda mfupi na kuzidi kumsababishia stress mama yako, halafu unasema eti ndilo kosa lako la kwanza (Siyo kweli). Unatwambia kuwa hapo nyumbani kwenu kumtuza huyo mkeo sijui mzazi mwezio hakuna shida wakati wewe hutoi chochote huoni kama huo mzigo wote ameubeba mama yako?

Kwa ufupi mama yako ANAKUPENDA kama mwanae (Amekusamee ndiyo maana amekubali kumpokea mkamwana na kumuhudumia) lakini anawaza vingi, na tatizo wewe ulilijua siku nyingi na kukaa kimya zimebaki siku chache ndo unasema. Hiyo fedha unayodai ulipiwe ada ndiyo hiyo ya kumtunza mwenzako na kulea hiyo mimba hatimae mtoto. KWA UFUPI WEWE NI BABA MTARAJIWA unatakiwa upambane nanma ya kustawisha familia yako siyo kukimbilia shule halafu msala unamuachia mama yako.

Ushauri wangu ni kuwa Hao Baba zako wadogo na shangazi (japo hukuwataja) kama kweli wana nia njema ya wewe kusoma waombe wachangishane fedha ya ada wewe urudi shule kuendelea na masomo na mama yako abakie na jukumu la kukulelea familia yako tu. (Maneno yao matupu bila vitendo hayasaidii). Kwa upande mwingine huo ni ukomavu UKIAMBIWA KUWA UYAONE NI PAMOJA NA HAYO. Matatizo ni sehemu ya maisha jikubali na USIKATE TAMAA. Wajibika Mama aishi.
 
Yaani matha wako anaakili sana, hapo amesha ona kabisa kwamba una jukumu lakulea mtoto na mke wako hivyo huwezi soma, cha msingi sasa ni wewe kutafuta kazi upate pesa za kulea familia yako uliyo anzisha,
 
Ile fedha ambayo ungelipoiwa shule inabidi ihamishiwe ktk malezi ya mkeo na mwanao......



Nampongeza mama kwa maamuzi ya busara aliyofanya.......
 
Kwani we huwa hufanyii?? Au wewe ndo unaye shawishi utoaji wa mimba.... . Kila mtu anakosea na anastairi kapewa adhabu.. Lakini unaangalia na adhabu mtu atakayo pewa.. Maana mda mwingine adhabu inaweza ikaigharimu familia nzima..
Mhh.Baba wee, hujui au hujasikia kwamba mfungwa hachagui gereza? Mama yako anakufahamu fika tangu utoto wako na hivyo ameona hiyo ndo size yako. Komaa nayo tu mwanangu. Mie nafanya.... kwani niko kwenye ndoa mazee.
 
ukafanye nini shule,,, ukawatambie wenzio mie kidume mbegu..... kaa nyumbani subiri mgeni.... tafuta vibarua ujisomeshe,,, wewe si kidume...komaaaaaa...
 
Huenda mama anahusianisha malavidavi yako na kukosekana kwa maksi za kutosheleza kuenelea na masomo ya advance. Anahisi hayo yamechangia wewe kutokufaulu vema.
Lakini pia siyo vyema hivyo anavyokufanyia mama yako.
 
Bali ni Mzinzi, dah ungebaki na sifa zote hizo ukakosa hio ya Uzinzi, sasa hizo sifa zote nzuri hazina maana yoyote, Nadhani Mama yetu huyo atakua ni Mfuasi wa Blaza J aliyepiga stop Mabinti kurudi skuli, Mama yetu yeye kaongeza kidogo....
Hahaha!
 
Pole kwa matatizo yaliyo kukuta japo ni ya kujitakia, kwenye thread yako unasema mmezaliwa watoto watatu (3), wa kike wawili na mmoja (wewe) wa kiume na kwa sasa una umri wa miaka 22 na Baba yenu alishatangulia mbele ya haki tangu ukiwa Form III. Tatizo kubwa nililoligundua kwako wewe umeshindwa kujikubali na sasa unatafuta huruma (Sympathy) kupitia watu mbali mbali badala ya kutumiza wajibu wako (Japo umekubali kosa).

Kwa umri ulionao ulitakiwa kutambua kuwa mama yako ni mjane na ujifunze kuhusu changamoto zinazowakabili wajane. Wewe kama mtoto pekee wa kiume ulitakiwa umsaidie mama yako kutatua changamoto na kero mbalimbali za kimaisha huku ukijikita vema katika masomo yako na kuachana na starehe za muda mfupi (Maana mshika mbili moja humponyoka).

Badala yake wewe ndiyo umeenda kuyazua kwa kuendekeza starehe za muda mfupi na kuzidi kumsababishia stress mama yako, halafu unasema eti ndilo kosa lako la kwanza (Siyo kweli). Unatwambia kuwa hapo nyumbani kwenu kumtuza huyo mkeo sijui mzazi mwezio hakuna shida wakati wewe hutoi chochote huoni kama huo mzigo wote ameubeba mama yako?

Kwa ufupi mama yako ANAKUPENDA kama mwanae (Amekusamee ndiyo maana amekubali kumpokea mkamwana na kumuhudumia) lakini anawaza vingi, na tatizo wewe ulilijua siku nyingi na kukaa kimya zimebaki siku chache ndo unasema. Hiyo fedha unayodai ulipiwe ada ndiyo hiyo ya kumtunza mwenzako na kulea hiyo mimba hatimae mtoto. KWA UFUPI WEWE NI BABA MTARAJIWA unatakiwa upambane nanma ya kustawisha familia yako siyo kukimbilia shule halafu msala unamuachia mama yako.

Ushauri wangu ni kuwa Hao Baba zako wadogo na shangazi (japo hukuwataja) kama kweli wana nia njema ya wewe kusoma waombe wachangishane fedha ya ada wewe urudi shule kuendelea na masomo na mama yako abakie na jukumu la kukulelea familia yako tu. (Maneno yao matupu bila vitendo hayasaidii). Kwa upande mwingine huo ni ukomavu UKIAMBIWA KUWA UYAONE NI PAMOJA NA HAYO. Matatizo ni sehemu ya maisha jikubali na USIKATE TAMAA. Wajibika Mama aishi.

Asante kwa ushauri wako...
 
Huenda mama anahusianisha malavidavi yako na kukosekana kwa maksi za kutosheleza kuenelea na masomo ya advance. Anahisi hayo yamechangia wewe kutokufaulu vema.
Lakini pia siyo vyema hivyo anavyokufanyia mama yako.

Asante.... Nashukulu
 
Mhh.Baba wee, hujui au hujasikia kwamba mfungwa hachagui gereza? Mama yako anakufahamu fika tangu utoto wako na hivyo ameona hiyo ndo size yako. Komaa nayo tu mwanangu. Mie nafanya.... kwani niko kwenye ndoa mazee.

Je mchanga ukiingia kunako jicho nikitu gani utafanya?? Utaritoa jicho lote au utatoa mchanga kunako jicho
 
Ile fedha ambayo ungelipoiwa shule inabidi ihamishiwe ktk malezi ya mkeo na mwanao......



Nampongeza mama kwa maamuzi ya busara aliyofanya.......

SawA nayo ni mawazo Yako
 
Yaani matha wako anaakili sana, hapo amesha ona kabisa kwamba una jukumu lakulea mtoto na mke wako hivyo huwezi soma, cha msingi sasa ni wewe kutafuta kazi upate pesa za kulea familia yako uliyo anzisha,

Asante kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom