Je, hii adhabu inanifaa?

Je, hii adhabu inanifaa?

Pole sana mkuu, Kama Mother kakaza jiandae kisaikolojia tu kulea mimba, tafuta shughuli ufanye fanye uinhize kipato huku ukiweka akiba, Lea mimba kwanza then uje kusoma hapo baadae...Mpango wa kusoma sasa hivi umekuwa ngetwa!(mbaya)
 
Joined; sunday....

JE ADHABU HII INANIFAA?


-kumbe ndiyo maana ulifeli bloodyfull!
 
Pole sana mkuu, Kama Mother kakaza jiandae kisaikolojia tu kulea mimba, tafuta shughuli ufanye fanye uinhize kipato huku ukiweka akiba, Lea mimba kwanza then uje kusoma hapo baadae...Mpango wa kusoma sasa hivi umekuwa ngetwa!(mbaya)

SawA... Tupo pamoja
 
Inakufaa sana,wewe ni baba wa familia unataka umwachie nani majukumu yako? Hatuna shule za wababa kuna za wavulana tu. Lea mimba hiyo na mtiti wa kujifungua your first born uuone, ukienda shule utatuletea mjamzito mwingine ukidai shetani kakuzowea.
 
Ni kweli unavyo sema... Lakini kulea mimba kwangu mimi sio tatzo.. Hata kwa uwezo wa familia yetu sio tatzo.. Tatzo ni maamuzi ya mama..
Kama kulea mimba sio tatizo kwa nini usijipeleke shule mwenyewe?


#Be the Joseverest to comment#
 
Ukienda Shule mimba yako nani anakusaidia kulea? Mtoto nani atakulelea?
 
Hiyo adhabu aliyokupa huyo mama ningependa na mheshimiwa rais aitumie ingefaa sana kwa wale wanaowapa mimba wanafunzi
 
Kila jambo na wakati wake kijana kuna wakati wa kutafuta maisha na wakati wa kuwa na familia lakini haina shida ajali kazini katika harakati za kupunguza nyege cha muhimu wewe usiende advance Bali uende chuo ili uwe unapata muda wa kutafuta Hela za wife na mtotooo kuwa na familia ni jukumu kubwa aiaeee
 
jinga kweli....unataka kukimbia majukumu ? yaan mama yako akusomeshe pia akusaidie kulea kwa upuuz ulofanya ? nan alikuambia ukisoma ndio unafanikiwa ? sikiliza young man, ulishaharibu, tafuta job itakayokuingizia kipato uweke na serving kwa ajili ya mtoto ajae !

alafu hukua na sababu ya kutuambia mko wangapi sijui dada kaolewa! nenda kwenye point ya msingi
 
Je mchanga ukiingia kunako jicho nikitu gani utafanya?? Utaritoa jicho lote au utatoa mchanga kunako jicho
Usikwepe KUWAJIBIKA kwa uliyotenda. Kubaliana na matokeo halafu Ujipange na uzingatie ushauri wa Mzee Saidi hapo juu. Kwisha habari.
 
Muombe Mungu akufanyie wepesi pia jaribu kuongea na dada ako ili aongee na mama huenda ataelewa
 
jinga kweli....unataka kukimbia majukumu ? yaan mama yako akusomeshe pia akusaidie kulea kwa upuuz ulofanya ? nan alikuambia ukisoma ndio unafanikiwa ? sikiliza young man, ulishaharibu, tafuta job itakayokuingizia kipato uweke na serving kwa ajili ya mtoto ajae !

alafu hukua na sababu ya kutuambia mko wangapi sijui dada kaolewa! nenda kwenye point ya msingi

Acha ujinga wewe.. Ko ulitaka niandike kama unavyo taka wewe..
Na wewe andika yako ukitaka na sio lazma kuchangia
 
Usikwepe KUWAJIBIKA kwa uliyotenda. Kubaliana na matokeo halafu Ujipange na uzingatie ushauri wa Mzee Saidi hapo juu. Kwisha habari.

Ningekwepa KUWAJIBIKA nazani hata mimba Nisinge kubali..
 
Back
Top Bottom