Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,160
- 72,200
Pole sana mkuu, Kama Mother kakaza jiandae kisaikolojia tu kulea mimba, tafuta shughuli ufanye fanye uinhize kipato huku ukiweka akiba, Lea mimba kwanza then uje kusoma hapo baadae...Mpango wa kusoma sasa hivi umekuwa ngetwa!(mbaya)

