Je, hii adhabu inanifaa?

Je, hii adhabu inanifaa?

Ni heka heka mtoni...!!
Pole sana Mjomba, Baba KIJACHO....

Ni kazi kubwa kwelikweli kusoma ingali unalea Mimba, ama mtoto..

Malezi sio swala la lelemama, ndio maana MAMA anataka uelekeze nguvu na mawazo yako kwenye UZALISHAJI/UTAFUTAJI ili uweze kumtunza MKEO mtarajiwa pamoja na mtoto wenu..

Hiyo ilikuwa ni STAREHE yako, iweje umbebeshe mzigo MAA...!!

Kwa nini hamkutumia kinga...!?

Anyway....nenda kawaeleze hili Mama wakubwa na Uncles (watu wazima) wanaweza kujua wampe ushauri upi Mama, utakao kuwa na faida kwenu nyote..

Bashite huwa anavizia OPPORTUNITY kama hizi, ili atumie Fursa kujiendeleza KIELIMU...

Pigania nafasi yako ya KUSOMA kama inawezekana...
 
Ni heka heka mtoni...!!
Pole sana Mjomba, Baba KIJACHO....

Ni kazi kubwa kwelikweli kusoma ingali unalea Mimba, ama mtoto..

Malezi sio swala la lelemama, ndio maana MAMA anataka uelekeze nguvu na mawazo yako kwenye UZALISHAJI/UTAFUTAJI ili uweze kumtunza MKEO mtarajiwa pamoja na mtoto wenu..

Hiyo ilikuwa ni STAREHE yako, iweje umbebeshe mzigo MAA...!!

Kwa nini hamkutumia kinga...!?

Anyway....nenda kawaeleze hili Mama wakubwa na Uncles (watu wazima) wanaweza kujua wampe ushauri upi Mama, utakao kuwa na faida kwenu nyote..

Bashite huwa anavizia OPPORTUNITY kama hizi, ili atumie Fursa kujiendeleza KIELIMU...

Pigania nafasi yako ya KUSOMA kama inawezekana...


Asante sana kwa ushauri wako... Hakika kukosea tumeumbiwa sisi binadamu...
 
Pole sana hiyo ni misukosuko ya kawaida katika maisha
 
Je ulitaka nimshawishi atoe hiyo mimba?? Pia najua nilifanya kosa lakini adhabu ya kuto soma ni sahihi.. Bola ninge kuwa naanza o level but ni advance brother...
Ndio adhabu ya Jamhuri yetu kwa wazazi. Je huyo bint alikuwa mwanafunzi pia?
 
Sikupingi....ila maamuzi ya busala ni ya msingi kuliko maamuzi ya hasira
Kila mtu duniani anakosea.. Na mimi hili ndilo kosa langu LA kwanza...
Na limebadilisha status yako kutoka mtoto kuwa baba ,hongera sana. Siku nyingine fikiria kabla ya kufanya transformation mistake.Sauwah!
 
Yaani kama huyo binti angekuwa wangu!ningekupiga pini ya ndoa mchana wa saa 7,dunia ikujue ikupe heshima yako. Siyo eti ukasome uje umkimbie nani atamuwowa sasa.
 
Daaah!!!! Heshima yako
Yote imevunjwa,na uznz
Uliouendekeza

Mama anapga mahesabu
Akusomeshe na alee mimba
Yako anakuta haiwezekan
N cost kubwa sana
 
Daaah!!!! Heshima yako
Yote imevunjwa,na uznz
Uliouendekeza

Mama anapga mahesabu
Akusomeshe na alee mimba
Yako anakuta haiwezekan
N cost kubwa sana

Ni kweli unavyo sema... Lakini kulea mimba kwangu mimi sio tatzo.. Hata kwa uwezo wa familia yetu sio tatzo.. Tatzo ni maamuzi ya mama..
 
Bint sio mwanafunzi
Sawa basi hapo ni kumuomba mama yako kwa utaratibu ajue umejua umekosa na kutubu hivyo utaitwa kwenye majadiliano kama na mtapata suluhu.

Mzazi inamuuma maana anaona amevunjiwa heshima kwa namna moja ama nyingine na pia anaona hauko makini kwenye masuala yako ya elimu maana mapenzi na elimu kwa level hiyo ni mafuta na maji.
 
Back
Top Bottom