Pole sana kaka.
Ila kwakuwa ni mama yako mzazi sitosema chochote.
Ila endelea kumbembeleza naamin ni hasira tuu
uliteleza au ulimwagia ndani ??Na nimetereza tu
Uko sahihi ndugu. Kinachomtatiza mama yako (kama alivyo mzazi yoyote) ni kwamba atalazimika kuwahudumia wewe na mzazi mwenzako, kwa pesa ambayo ingekusomesha. Ila cha msingi kaa nae umuombe radhi na uahidi kubadilika, ili akusaidie.Sikupingi....ila maamuzi ya busala ni ya msingi kuliko maamuzi ya hasira
Kila mtu duniani anakosea.. Na mimi hili ndilo kosa langu LA kwanza...
Uko sahihi ndugu. Kinachomtatiza mama yako (kama alivyo mzazi yoyote) ni kwamba atalazimika kuwahudumia wewe na mzazi mwenzako, kwa pesa ambayo ingekusomesha. Ila cha msingi kaa nae umuombe radhi na uahidi kubadilika, ili akusaidie.
Ndo unyooke sasa.Ni kweli unavyo sema... Lakini je ndakoma mpaka lini angali Juma Tatu masomo ndiyo yanaanza...
Inakufaa sana,wewe ni baba wa familia unataka umwachie nani majukumu yako? Hatuna shule za wababa kuna za wavulana tu. Lea mimba hiyo na mtiti wa kujifungua your first born uuone, ukienda shule utatuletea mjamzito mwingine ukidai shetani kakuzowea.
Na iwe fundisho kwa wale watakaojaribu kufanya hivyo. Uroda na shule wapi na wapi mzee?
Wee si tozi,.haya komaa sasa,we si unapenda utamu,kupiga kavu,.unadhan wenzio tunatumia mpira tunapenda,..