Je, Hayati Magufuli alichukia wawekezaji au alichukia wawekezaji janja janja?

Inawezekana pia hujui.

Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.

Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.

Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.
Nenda kaombe kazi ya kufundisha kiingereza Kenya Kwa sabbu unaweza kuandika kiingereza fasaha kuliko wakenya ulete mrejesho hapa!
 
williamswtf.png


MAGUFULI ALIKUWA HATABIRIKI UNAWEZA UKALETA MTAJI MKUBWA HALAFU AKAWATUMA KINA DOTTO JAMES KUJA KUIKWAPUA HUKO BENKI
 
Kuiba pesa za wafanyabiashara kwa nguvu na kutumia mtutu wa Bunduki,au kubambikia watu kesi za kuhujumu uchumi,ndio kupenda wawekezaji?Rejea hotuba ya Mhe Raisi siku anahutubia Ikulu,alitoa kisa kimoja alichokishuhudia kama Makamu wa Raisi.

Sasa kama Makamu wa Raisi alifika pointi,akashindwa,ndio ujue Jiwe alikuwa mwizi tu,wafanyabiashara aliowapenda ni wale shemeji zake wa Mayanga Co ltd.
Huelewi chochote kuhusu sarakasi za ikulu kati ya jpm na huyo mwenzake..kojoa ulale hujui chochoteee
 
Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.

Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.

Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.

Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.

Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.

Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.

Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
JPM aliipenda Tanzania kwa dhati kabisa. Wanaomchukia ni wale waliotaka na wanaotaka kunufaika binafsi na Tanzania badala ya kuinufaisha Tanzania. Binafsi nitaendelea kumuenzi JPM daima na kuililia Mama Tanzania hadi mwisho wa uhai wangu!
 
Inawezekana pia hujui.

Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.

Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.

Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.
Rubbish!
 
Ukifanya interview kishindani na kihalali kabisa kwenye soko la ajira wakenya wengi wako vizuri kulinganisha na watanzania. Tanzania ikithubutu kufungua milango ya labour force kutoka nchi nyingine za East Africa, watanzania wengi hawawezi kushindana na wakenya.
Kuna watu munajisema semea kila kitu hata mambo ya hovyo hovyo! Hii lugha ya wako vizuri umeitoa wapi? Au wakikuzidi wewe unasema wako vizuri? Nchi gani duniani yenye watu wako vizuri na nyingine wako vibaya? Ubora, quality, ni juu yako siyo juu ya utaifa na nchi. Kazana nawe uwazidi wenzako, wakenya na wa-TZ badala ya maneno ya kusifia bila sababu.

Ubora wautoe wapi? Shuleni? Shule zao ni nzuri kuliko zetu? Yes au NO! Ni nzuri ktk nyanja zipi? Zote? Yes au No! Mbona hatuoni ugunduzi wowote wa Kenya? Mbona hatuoni dalili za ufahamu? Wewe inabidi tukufundishe hata kufikiri.
 
Kuna watu munajisema semea kila kitu hata mambo ya hovyo hovyo! Hii lugha ya wako vizuri umeitoa wapi? Au wakikuzidi wewe unasema wako vizuri? Nchi gani duniani yenye watu wako vizuri na nyingine wako vibaya? Ubora, quality, ni juu yako siyo juu ya utaifa na nchi. Kazana nawe uwazidi wenzako, wakenya na wa-TZ badala ya maneno ya kusifia bila sababu.

Ubora wautoe wapi? Shuleni? Shule zao ni nzuri kuliko zetu? Yes au NO! Ni nzuri ktk nyanja zipi? Zote? Yes au No! Mbona hatuoni ugunduzi wowote wa Kenya? Mbona hatuoni dalili za ufahamu? Wewe inabidi tukufundishe hata kufikiri.
Limekuingia na umeumia sana. Pole lakini ndiyo ukweli. Haya nazungumzia kutokana na experince na siyo bla bla. Endelea kukasirika kwani sina msaada zaidi.
 
Unawezaje ukaruhusu walimu wa Kenya nchini wakati tuna maelfu wa wahitimu wa Kitanzania wanaotaka hizo ajira?

Hizi ndizo akili za wanachama wa chama cha mbowe!
Walimu wa kiswahili duniani kote wanatoka kenya,hata watangazaji wa channel za kimataifa za kiswahili wanatoka kenya.Kuongea kiswahili sio ndo kujua kiswahili
 
Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.

Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.

Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.

Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.

Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.

Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.

Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Kwa kuangalia jinsi uwekezaji katika shule za English medium has a mikoa ya Ars, K'njaro na Manyara, ni kweli kabisa naungana na hoja hii maana nimeshuhudia kwa macho yangu. Brother yangu mm alikuwa Meneger was shule ya mwekeza mama mmoja kutoka Australia, hii shule hadi Leo IPO maeneo ya USA-RIVER jirani kabisa na hotel ya Ngurdoto. Sikh nilipopata nafasi ya kumtembelea nilishangaa sana kukuta staff yenye walimu 60 wakenye ni wengi kuliko watanzania. Wakati Luna shule nyingine za namna hiyohiyo zikiwa na walimu watanzania lkn bado zina ufanisi sawia. Hili suala LA hawa wakenya lazima tuwe makini sana
 
Mfu shetani mtu Magufuli alikuwa anataka mwekezaji atakayekubali kufanya naye ufisadi vinginevyo anakufilisi na kukufungulia kesi ya kutakatisha fedha na uhujumu uchumi!
Acha utoto wa majukwaa ya kisiasa. Hapa tunajadili mambo serious ya nchi na kujenga akili. Nani aliyefilisiwa unayeweza kumsifu ni mtu mwaminifu. Ukizoea misheni tauni, kina kitu cha hovyo unaona ni halali yako.
 
Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.

Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.

Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.

Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.

Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.

Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.

Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Hao walimu toka Kenya wameajiriwa wakati wa SSH au wakati wa JIWE?
 
Walimu wa kiswahili duniani kote wanatoka kenya,hata watangazaji wa channel za kimataifa za kiswahili wanatoka kenya.Kuongea kiswahili sio ndo kujua kiswahili
Ni kwa sababu umezubaa zubaa kama mbumbumbu ndio maana wakenya wanakupiku.

Badala ya kuchangamkia fursa umelala tu kwenye kochi unajamba na kusifu juhudi za wengine.

Changamka!
 
Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.

Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.

Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.

Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.

Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.

Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.

Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Ila kiswahili kigumu kaka, wengine tulipata D O-Level na janja janja zetu..
 
mwandazake alikua na huluka na tabia zake zinazomfaa yeye kama yeye tu na hazielezeki.
 
Hii ilipata wapi? Story hii wanaijua wazee wachache (ambao bado wanaishi) wa pale Kashalunga, Muleba mahali familia ya akina Magufuli ilikoishi hadi robo ya kwanza ya 1960s, kisha kuamua Biharamulo na baadaye Kyato!
Hii ndiyo kazi ya JF, ukijifanya mjuaji watu wanakufunyua. Mwendazake alikuwa na tabia zisizofanana na Watanzania, ilibidi tuchimbe ndiyo tikajuwa ana asili ya Burundi
 
Inawezekana pia hujui.

Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.

Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.

Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.
Uongooo
 
Limekuingia na umeumia sana. Pole lakini ndiyo ukweli. Haya nazungumzia kutokana na experince na siyo bla bla. Endelea kukasirika kwani sina msaada zaidi.
Experience ni relative kwa mazingira yako.
Sema bhla! bhla! siyo bla bla. Nikishaona hilo najua ndo sababu unasifia hao!
 
Kua tu na walimu sio sababu.unaweza kua na walimu wenye vyeti ila wakawa wababaishaji tu.Unadhani kinachotukwamisha mara nyingi ni nini kama sio ubabaishaji na uswahili mahali pa kazi.Kuna kipindi south afrika ilichukua walimu wa kiswahili kenya badala ya Tanzania nasio kwamba hawajui kua Tanzania yaweza kua na walimu wengi wa kiswahili kuliko Kenya ila inawezekana kuna sifa za ziada tunazikosa.Yatupasa tubadilike badala yakukalia ubishi na ujuaji usio na maana.
Labda tuseme sisi ishu ni kutojiamini. Nina mdogo wangu amepata fursa ujerumani anafundisha Kiswahili na alikuwa mwalimu tu wa kawaida sekondari. Ni kwamba tuwe na uthubutu. Nishawahi muuliza Expatriate mmoja kwa nn hamtuchukui na sisi nchini kwenu kama Expatriate. Jibu lilikuwa stereotype, kwamba watanzania hatupendi kufanya kz nje ya TZ. Hivyo inawezekana stereotypes kuhusu watz ndo zinatuwekea vigingi. Siyo kila mtanzania mvivu, mswahili au mbabaishaji.
 
Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.

Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.

Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.

Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.

Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.

Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.

Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Kuwachukia kunasaidia nini kama nchi haina wenye uwezo huo? Kama Kenya imeweza kuwajengea uwezo watu wako na ujasiri wa kutoka kutafuta kwingine Tanzania tunaendekeza sifa za siasa uchwara lazima watufunike.

Kuongea kiswahili huku kitaani na mitandaoni haimaanishi tunaweza kukifundisha. Kufundisha na kuongea tuu vitu viwili tofauti.

Ujamaa umeliharibu sana taifa.
 
Back
Top Bottom