Nenda kaombe kazi ya kufundisha kiingereza Kenya Kwa sabbu unaweza kuandika kiingereza fasaha kuliko wakenya ulete mrejesho hapa!Inawezekana pia hujui.
Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.
Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.
Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.