MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,474
- 8,692
Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.
Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.
Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.
Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.
Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.
Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.
Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.
Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.
Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.
Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.
Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.
Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.