Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 570
Dah. Ndo maana SSH jana kawasifia anavyopenda kusikia wanavyoongea Kiswahili.Inawezekana pia hujui.
Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.
Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.
Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.