Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Wanajamvi kuna baadhi ya Mawaziri ukiwaalika kwenye Sherehe kama gladuation au mkutano Wowote basi watatoa tamko ambalo litaleta mjadala si jambo baya ila nauliza tu
1:Wanakuwa wameyafanyia utafiti tayari
2:Wana washirikisha wenzao wataalamu
3:Je kama wasinge alikwa wangetoa ilo tamko
4:Ni tamko ambalo wanakuwa wamelipanga au linatokea tu hapo papo
1:Wanakuwa wameyafanyia utafiti tayari
2:Wana washirikisha wenzao wataalamu
3:Je kama wasinge alikwa wangetoa ilo tamko
4:Ni tamko ambalo wanakuwa wamelipanga au linatokea tu hapo papo