Je, hawa vijana wana uelewa na weledi wa kutosha?

Je, hawa vijana wana uelewa na weledi wa kutosha?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,386
Lipo kundi la vijana la propaganda mitandaonu lililotumwa maalum kubeza, kukejeli na kufubaza harakati zote za ukombozi wa Tanganyika zinazoongozwa na Gen Z
Hili ni kundi mchanganyiko lenye uelewa na maslahi tofauti kwenye hali tuliyo nayo

Wapo wafaidikaji wakuu na wenye maslahi ya moja kwa moja na wapo fukara wanaoambulia makombo. Ambao wao kwa ujira usiozidi million moja kwa mwezi wako tayari kufanya chochote kile hata kama kitadhalilisha utu wao
Ni wazi hatuwezi kufanana kwenye kila kitu, kuanzia imani mpaka itikadi.. Lakini kwenye kila kitu kuna mambo ya msingi ambayo hayazingatii imani wala itikadi.. Hayo yapo na yanajitegemea na mojawapo ni HAKI ya kuishi na UHURU wa kutoa maoni bila kuvunja katiba

Mfumo wenye makandokando mengi na tuhuma za kila aina unajitahidi kwa kila njia kujinasua na kujisafisha mbele ya watu na jumuiya za kimataifa

Hilo ni jambo la kawaida popote kwakuwa kuna kundi faidika kati yao na linajua wazi kwamba mambo yakienda mrama nao watayumba na kuwa sehemu ya uwajibikaji
Kwenye shida yoyote iwe kubwa ama ndogo jifunze kutulia.. Ukipaniki tuu.. Umejimaliza kwa bei poa kabisa, mbaya zaidi unaweza kusababisha madhara hata kwa wasiohusika

Kwenye medani za vita kila silaha ni muhimu kwa ajili ya ushindi, lakini haziwezi kutumika zote kwa wakati mmoja.. Kuna silaha za mkakati na kuna silaha kulingana na mazingira

Vijana waliotumwa mitandaoni kuwashambulia wote wanaotaka mambo yarekebishwe kwa manufaa ya taifa zima
Wengi hawajaandaliwa vema
Wengi no tiamajitiamaji
Wengi wana stress mbalimbali za maisha,kuanzia kipato mpaka ajira
Wengi wana uono na maono kimo cha mbilikimo kwenye hoja na tafakuri muhimu
Wengi hawana uwezo wa kujibu hoja bali hujibu viroja
Wengi ni wahitimu waliosoma lakini hawakuelimika.. Ni wahitimu janjajanja

Hawa ni tofauti kabisa na kundi la vijana wenzao wapigania haki kwa wore
Wamesoma na kuelimika
Wamefaulu kwa haki
Wana maono makubwa na mazuri
Hoja zao zina mashiko
Wanajitolea hawalipwi
Wanapambania kesho bora ya wote na si ya kikundi faidika cha watu wachache
Wana mbinu, wana mikakati na hoja zinazielezeka
Kama ukifanya tathmini ya siku na ya mwezi kundi hili la pili linajizolea point nyingi kila wakati! Na kila siku ipitayo wanasonga hatua moja mbele.. Maana wamejitambua na wanajielewa wanataka nini na kwa faida ya nani
.ndugu zao wa upande wa pili wao hawana mikakati, hawana hoja hawana akili.. Wao kazi yao ni vijembe, kejeli matusi uzushi uongo na uzandiki.. Na malipo yanapocheleweshwa utajua tuu

Kuna wakati wasilaumiwe Sana.. Maana wanatumikia tumbo. Na hakuna kitu kibaya kama njaa.. Aliyesema adui yako muombee njaa aliwaza jambo kubwa Sana..
Hawa hawajui ya kuwa kinachopiganiwa kina maslahi na faida kwao pia! Kazi ya ujira mwisho wake ni kutupwa.. Je mabadiliko tarajiwa yatakapotokea wataweka wali nyuso zao;?
1766420324711.jpg


View: https://www.facebook.com/share/v/1DimGudiwx/
 
Kuna mtu alisema kuna mstari mdogo, kati ya uchawa na ushoga, wengi ni hamna kitu.

Uki watazama au kuwasoma una ona au kuelewa kabisa, hawa shindwi kuuza ndugu zao kisa pesa.
Ili mtu akutumie vizuri ni lazima kwanza 'akuvue utu wako' baada ya hapo kwisha habari yako ! Hutoweza tena kuongea chochote cha msingi maana huna thamani tena
 
Acha kuandika upumbavu we nyumbu
-Mmeshawishi vijana wa watu wakaenda kuvunja na kuharibu mali za umma, wakati wewe una infinix yako ndani unaandika zmechomwa kadhaa
-mmewashawishi vijana wa kitanzania wamekufa kwa kuzuiliwa kufanya uharibifu wa mali za umma nyie mpo ndani mmekalisha matako ndani mnaandika RIP shujaa.huu ni ujuha
-yale maduka mliokuwa mnawaagiza wakaharibu ndimo tanganyika ilikuwa imefungiwa takataka wewe
-kule mwanza waliingia kiwandani kuiba magodoro na kiwanda kikalipuka, mle palikuwemo na tanganyika au mamako nyumbu wewe!
-zile gari mlizoiba na zingne kuchoma kwenye yale magari palikuwemo na tanganyika mle au ni unyumbu tu.
-mlitaka watu warudi enzi za uwimbombo na ulindi mnaenda kuchoma vyanzo vya umeme, mle palikuwemo na tanganyika au mamako?

ENDELEENI KUWASHAWISHI HALAFU MUANZE KUTAFUTA IDADI YA WALIOKULA MISUMARI
kazi ya nyumbu ni kuliwa hamna namna
 
Lipo kundi la vijana la propaganda mitandaonu lililotumwa maalum kubeza, kukejeli na kufubaza harakati zote za ukombozi wa Tanganyika zinazoongozwa na Gen Z
Hili ni kundi mchanganyiko lenye uelewa na maslahi tofauti kwenye hali tuliyo nayo

Wapo wafaidikaji wakuu na wenye maslahi ya moja kwa moja na wapo fukara wanaoambulia makombo. Ambao wao kwa ujira usiozidi million moja kwa mwezi wako tayari kufanya chochote kile hata kama kitadhalilisha utu wao
Ni wazi hatuwezi kufanana kwenye kila kitu, kuanzia imani mpaka itikadi.. Lakini kwenye kila kitu kuna mambo ya msingi ambayo hayazingatii imani wala itikadi.. Hayo yapo na yanajitegemea na mojawapo ni HAKI ya kuishi na UHURU wa kutoa maoni bila kuvunja katiba

Mfumo wenye makandokando mengi na tuhuma za kila aina unajitahidi kwa kila njia kujinasua na kujisafisha mbele ya watu na jumuiya za kimataifa

Hilo ni jambo la kawaida popote kwakuwa kuna kundi faidika kati yao na linajua wazi kwamba mambo yakienda mrama nao watayumba na kuwa sehemu ya uwajibikaji
Kwenye shida yoyote iwe kubwa ama ndogo jifunze kutulia.. Ukipaniki tuu.. Umejimaliza kwa bei poa kabisa, mbaya zaidi unaweza kusababisha madhara hata kwa wasiohusika

Kwenye medani za vita kila silaha ni muhimu kwa ajili ya ushindi, lakini haziwezi kutumika zote kwa wakati mmoja.. Kuna silaha za mkakati na kuna silaha kulingana na mazingira

Vijana waliotumwa mitandaoni kuwashambulia wote wanaotaka mambo yarekebishwe kwa manufaa ya taifa zima
Wengi hawajaandaliwa vema
Wengi no tiamajitiamaji
Wengi wana stress mbalimbali za maisha,kuanzia kipato mpaka ajira
Wengi wana uono na maono kimo cha mbilikimo kwenye hoja na tafakuri muhimu
Wengi hawana uwezo wa kujibu hoja bali hujibu viroja
Wengi ni wahitimu waliosoma lakini hawakuelimika.. Ni wahitimu janjajanja

Hawa ni tofauti kabisa na kundi la vijana wenzao wapigania haki kwa wore
Wamesoma na kuelimika
Wamefaulu kwa haki
Wana maono makubwa na mazuri
Hoja zao zina mashiko
Wanajitolea hawalipwi
Wanapambania kesho bora ya wote na si ya kikundi faidika cha watu wachache
Wana mbinu, wana mikakati na hoja zinazielezeka
Kama ukifanya tathmini ya siku na ya mwezi kundi hili la pili linajizolea point nyingi kila wakati! Na kila siku ipitayo wanasonga hatua moja mbele.. Maana wamejitambua na wanajielewa wanataka nini na kwa faida ya nani
.ndugu zao wa upande wa pili wao hawana mikakati, hawana hoja hawana akili.. Wao kazi yao ni vijembe, kejeli matusi uzushi uongo na uzandiki.. Na malipo yanapocheleweshwa utajua tuu

Kuna wakati wasilaumiwe Sana.. Maana wanatumikia tumbo. Na hakuna kitu kibaya kama njaa.. Aliyesema adui yako muombee njaa aliwaza jambo kubwa Sana..
Hawa hawajui ya kuwa kinachopiganiwa kina maslahi na faida kwao pia! Kazi ya ujira mwisho wake ni kutupwa.. Je mabadiliko tarajiwa yatakapotokea wataweka wali nyuso zao;?View attachment 3519313

View: https://www.facebook.com/share/v/1DimGudiwx/

Moja ya vijana wa CCM tiamaji ni usajili mpya wa CCM yaani Habib Mchange....
Ukimsikiliza huyu mwendawazimu (Habib Mchange) ambaye bila shaka ni substitute ya Cyprian Musiba baada ya kuokoka utamjua tu kuwa, huyu kashiba mihogo ya kupewa na kaahidiwa mingine😂😂😂...


View: https://youtu.be/DQ8HuYTmcwk?si=vyplO9UaFkSJhlG6

Anapiga propaganda zilizo chini ya kiwango na kuuweka wazi (expose) ujinga na upumbavu wake na haina shaka kuwa hata waliomtuma huinamisha nyuso zao chini wanapomsikiliza...!!
 
Moja ya vijana wa CCM tiamaji ni usajili mpya wa CCM yaani Habib Mchange....
Ukimsikiliza huyu mwendawazimu (Habib Mchange) ambaye bila shaka ni substitute ya Cyprian Musiba baada ya kuokoka utamjua tu kuwa, huyu kashiba mihogo ya kupewa na kaahidiwa mingine😂😂😂...


View: https://youtu.be/DQ8HuYTmcwk?si=vyplO9UaFkSJhlG6

Anapiga propaganda zilizo chini ya kiwango na kuuweka wazi (expose) ujinga na upumbavu wake na haina shaka kuwa hata waliomtuma huinamisha nyuso zao chini wanapomsikiliza...!!


View: https://www.facebook.com/reel/2758780851180915/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
 
Njaa mbaya sana. Nawahurumia sana vijana hawa. Sasa hivi wamepewa mbinu butu ya kutishia kuendelea kuuwa. Kwamba "njooni mkutane na shaba" mara "njooni tuwamwage ubongo", mara "njoni mwone risasi inavyopenya mwilini" ni hasara kubwa kwa wazazi wao. Huwa sijisumbui na upuuzi wanaouandika humu. Napita tu. Na kama wote wenye akili timamu TUNGEWAPUUZA, tungewaharibia kibarua mapema sana. Dawa ni kutoku-comment kwenye upuuzi wao. Mbona tunawafahamu wapumbavu na vilema wa ubongo hawa.
 
Lipo kundi la vijana la propaganda mitandaonu lililotumwa maalum kubeza, kukejeli na kufubaza harakati zote za ukombozi wa Tanganyika zinazoongozwa na Gen Z
Hili ni kundi mchanganyiko lenye uelewa na maslahi tofauti kwenye hali tuliyo nayo

Wapo wafaidikaji wakuu na wenye maslahi ya moja kwa moja na wapo fukara wanaoambulia makombo. Ambao wao kwa ujira usiozidi million moja kwa mwezi wako tayari kufanya chochote kile hata kama kitadhalilisha utu wao
Ni wazi hatuwezi kufanana kwenye kila kitu, kuanzia imani mpaka itikadi.. Lakini kwenye kila kitu kuna mambo ya msingi ambayo hayazingatii imani wala itikadi.. Hayo yapo na yanajitegemea na mojawapo ni HAKI ya kuishi na UHURU wa kutoa maoni bila kuvunja katiba

Mfumo wenye makandokando mengi na tuhuma za kila aina unajitahidi kwa kila njia kujinasua na kujisafisha mbele ya watu na jumuiya za kimataifa

Hilo ni jambo la kawaida popote kwakuwa kuna kundi faidika kati yao na linajua wazi kwamba mambo yakienda mrama nao watayumba na kuwa sehemu ya uwajibikaji
Kwenye shida yoyote iwe kubwa ama ndogo jifunze kutulia.. Ukipaniki tuu.. Umejimaliza kwa bei poa kabisa, mbaya zaidi unaweza kusababisha madhara hata kwa wasiohusika

Kwenye medani za vita kila silaha ni muhimu kwa ajili ya ushindi, lakini haziwezi kutumika zote kwa wakati mmoja.. Kuna silaha za mkakati na kuna silaha kulingana na mazingira

Vijana waliotumwa mitandaoni kuwashambulia wote wanaotaka mambo yarekebishwe kwa manufaa ya taifa zima
Wengi hawajaandaliwa vema
Wengi no tiamajitiamaji
Wengi wana stress mbalimbali za maisha,kuanzia kipato mpaka ajira
Wengi wana uono na maono kimo cha mbilikimo kwenye hoja na tafakuri muhimu
Wengi hawana uwezo wa kujibu hoja bali hujibu viroja
Wengi ni wahitimu waliosoma lakini hawakuelimika.. Ni wahitimu janjajanja

Hawa ni tofauti kabisa na kundi la vijana wenzao wapigania haki kwa wore
Wamesoma na kuelimika
Wamefaulu kwa haki
Wana maono makubwa na mazuri
Hoja zao zina mashiko
Wanajitolea hawalipwi
Wanapambania kesho bora ya wote na si ya kikundi faidika cha watu wachache
Wana mbinu, wana mikakati na hoja zinazielezeka
Kama ukifanya tathmini ya siku na ya mwezi kundi hili la pili linajizolea point nyingi kila wakati! Na kila siku ipitayo wanasonga hatua moja mbele.. Maana wamejitambua na wanajielewa wanataka nini na kwa faida ya nani
.ndugu zao wa upande wa pili wao hawana mikakati, hawana hoja hawana akili.. Wao kazi yao ni vijembe, kejeli matusi uzushi uongo na uzandiki.. Na malipo yanapocheleweshwa utajua tuu

Kuna wakati wasilaumiwe Sana.. Maana wanatumikia tumbo. Na hakuna kitu kibaya kama njaa.. Aliyesema adui yako muombee njaa aliwaza jambo kubwa Sana..
Hawa hawajui ya kuwa kinachopiganiwa kina maslahi na faida kwao pia! Kazi ya ujira mwisho wake ni kutupwa.. Je mabadiliko tarajiwa yatakapotokea wataweka wali nyuso zao;?View attachment 3519313

View: https://www.facebook.com/share/v/1DimGudiwx/

Yako mengi sana yametumwa , ila jf sio nyepesi kama wanavyofikilia ,yatapigwa spana mpaka yakome
 
Back
Top Bottom