Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 14,952
- 34,958
Wakuu,
Kwanini hizi aina nyingine za Mbwa hatuoni zikitangazwa sana hapa Tanzaniaa zaidi ya German Shepherd
Je upatikanaji wake ni mgumu au ndio watanzania wamekariri tu?
1.Golden Retriever
2.Labrador Retriever
3.Husky
Sifa zao
1.Ni salama na rafiki kuishi na familia hasa watoto.
2.Wana uelewa wa juu na rahisi kufundishika
3.Ni wapole na wanapenda kuwa karibu na watu(social dogs)
4.Wanafaa kwa ulinzi wa wastani
Najua kuna aina nyingi za Mbwa lakini nimeamua kuweka hawa maana naona wana Sifa zinazokaribiana sana.
Naomba ufafanuzi wataalamu
Asante.
Golden Retriever 1
Golden Retriever 2
Labrador 1
Labrador 2
Husky dog
Germany Shepherd
Kwanini hizi aina nyingine za Mbwa hatuoni zikitangazwa sana hapa Tanzaniaa zaidi ya German Shepherd
Je upatikanaji wake ni mgumu au ndio watanzania wamekariri tu?
1.Golden Retriever
2.Labrador Retriever
3.Husky
Sifa zao
1.Ni salama na rafiki kuishi na familia hasa watoto.
2.Wana uelewa wa juu na rahisi kufundishika
3.Ni wapole na wanapenda kuwa karibu na watu(social dogs)
4.Wanafaa kwa ulinzi wa wastani
Najua kuna aina nyingi za Mbwa lakini nimeamua kuweka hawa maana naona wana Sifa zinazokaribiana sana.
Naomba ufafanuzi wataalamu
Asante.
Golden Retriever 1
Golden Retriever 2
Labrador 1
Husky dog
Germany Shepherd