Je hapa serikali imenifanyia haki?

Baba Matatizo

JF-Expert Member
May 5, 2011
334
64
Habari za kazi wana JF?Nina Babu yangu amestaafu kazi tarehe1/12/2009,akiwa idara ya maji Tabora mjini.Mpaka leo bado hajalipwa malipo yake ya kuustaafu.Kila kinchohitajika tayari ameshapeleka.Sasa idara ya maji Daresalaam wanasema faili hawalioni wakati mwezi wa 4 mwaka 2010 waliliona wakampa na barua ya kustaafu.Nimeamua kuwaambia wataalamu wa sheria ili niweze kupata kwa kuanzia.Mzee anaishi kwa shida sana wakati haki yake inazungushwa na wajanja wachache!
Nawasilisha mada.
 
Back
Top Bottom