mweatu
Member
- Jul 13, 2015
- 16
- 47
Ndugu wataalamu wa afya na wanajamvi kwa ujumla, nianze kwa salaam.
Kama tunavyojua kuwa mama mjamzito akiwa katika hatua za mwisho kukaribia kujifungua, wataalam wa afya huwa wanapima njia ya uzazi ili kujua imefikisha cm ngapi. Njia ambayo imekuwa ikitumika kwa mujibu wa wife anavyonisimuliaga ni kuingiza mkono kwenye nyeti zao.
Binafsi najisikiaga vibaya na naiona njia hii kama inawakera wamama pia. Hivi kutokana na kukua kwa technolojia kila mahala, je, haijapatikana technolojia ya kupima njia bila kuingiza mikono?
Msaada wenu tafadhari
Kama tunavyojua kuwa mama mjamzito akiwa katika hatua za mwisho kukaribia kujifungua, wataalam wa afya huwa wanapima njia ya uzazi ili kujua imefikisha cm ngapi. Njia ambayo imekuwa ikitumika kwa mujibu wa wife anavyonisimuliaga ni kuingiza mkono kwenye nyeti zao.
Binafsi najisikiaga vibaya na naiona njia hii kama inawakera wamama pia. Hivi kutokana na kukua kwa technolojia kila mahala, je, haijapatikana technolojia ya kupima njia bila kuingiza mikono?
Msaada wenu tafadhari