Ukiandika Neno Shule, halafu mtu akaanza kulitafakari, atapata maana nyingi Sana zinazotokana na Neno Shule,
Ndiyo, Gwajima alitamka hivyo, kinachobaki ni tafakari zilizo/zisizo sahihi, ili mradi tu mtu anajidanganye katika ukweli usio ukweli!
Tafakari ya G malisa, sio tafakari ya kila mmoja katika usemi wa Gwajima,
Yeye kapata hicho, na mwingine atapata kile, mwisho wa siku inabaki kuitwa, ni tafakari zinazoongozwa na hisia zilizochanganyikana na upumbavu!!