Je, Gwajima alimshauri rafiki yake atoe rushwa?

Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku

Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
 
Hadi kufikia 2025, tutashuhudia maajabu mengi ya dunia. Waendelee tu kuvuana nguo. Hakuna namna.

Walifanya dhuluma nyingi, ni wakati wao sasa kulipia.
 
Nilimtetea Sana Gwajima baada ya zile n photo na movies zake.
Nilamini anasingiziwa,aah nilijua anasingiziwa.

Ila baada ya kuona wananchi wa Kawe wameshika kura zilizopita tayari kwa huyu anejiita Askof Basi tokea siku hiyo Mimi binafsi nilimvua u Askofu.

Hata hivyo sikujua kuwa Gwajima Ni CCM ,siku alipotia Nia kugombea ubunge kupitia CCM nilianza kutia mashaka Utumishi wake,maana CCM ushindi wao kwa kila sehemu huwa Ni haramu,wizi wa kura na ikibidi rushwa,utekaji na ikiwa lazima huua.
Mtumishi gani wa Mungu anaweza kuunga mkono hayo?

BAK
 
Gwaj B' ni mtu ndumila kuwili sana, hafai kuaminiwa hata na mbwa
 
Ukiandika Neno Shule, halafu mtu akaanza kulitafakari, atapata maana nyingi Sana zinazotokana na Neno Shule,

Ndiyo, Gwajima alitamka hivyo, kinachobaki ni tafakari zilizo/zisizo sahihi, ili mradi tu mtu anajidanganye katika ukweli usio ukweli!

Tafakari ya G malisa, sio tafakari ya kila mmoja katika usemi wa Gwajima,

Yeye kapata hicho, na mwingine atapata kile, mwisho wa siku inabaki kuitwa, ni tafakari zinazoongozwa na hisia zilizochanganyikana na upumbavu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…