Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Ningependa kwa wale wenzetu wenye uelewa mkubwa wa kisheria watujuze juu ya hili. wasiwasi wangu ni kwamba Dr. Batrida Buriani atamfungulia kesi ya udhalilishaji na madai kwa reference ya hukumu iliyosomwa leo mahakama kuu ya Arusha. kwa wajuao tunaomba mtufafanulie.
NGUVU YA UMMA ITASHINDA!
NGUVU YA UMMA ITASHINDA!