Je, Geofrey Wasonga anayewania Urais wa TLS ni mtanzania? Tetesi zinadai ni Mkenya! Je katiba ya TLS inaruhusu wasio raia kugombea nafasi hiyo?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,001
20,660
Hizi tetesi zinavuma kwamba huyu bwana ni mzaliwa was Kenya,na kwamba hata wazazi wake ni wa huko Kisumu,Kenya,ujaluoni.

Je katiba ya TLS inaruhusu hata wasio raia kugombea urais was taasisi hii? Watakuwa na nguvu ipi kukosoa uongozi wa Tanzania bila kuonekana ni mamluki au wakala wa usalama wa taifa wa nchi jirani aliyetumwa kutuchimbachimba na kujipenyeza katika ngazi za uongozi na hivyo kujua siri za nchi?

Ni wazi anaweza kupata fursa ya kukaa na Rais wa nchi,Spika,na Jaji Mkuu,je hatakuwa akivujisha taarifa hizo kwa nchi aliyozaliwa?

Wajumbe wambane kuhusu mabadiliko ya majina na uraia wake na asili ya wazazi wake

Nauliza tu!
 
Sidhani hicho ni kikwazo sababu kama TLS mlimchagua raia wa nchi nyingine raia wa Nchi ya Zanzibar Nchi yenye Raisi na serikali yake Fatuma Karume kuwa Raisi wa TLS basi raia wa nchi yeyote duniani hata Somalia aweza kuwa Raisi wa TLS as long as ni mwanachama wa TLS.

Mleta mada unaonekana ni wakili bwege tu
 
Hizi tetesi zinavuma kwamba huyu bwana ni mzaliwa was Kenya,na kwamba hata wazazi wake ni wa huko Kenya,ujaluoni.

Je katiba ya TLS inaruhusu hata wasio raia kugombea urais was taasisi hii? Watakuwa na nguvu ipi kukosoa uongozi wa Tanzania bila kuonekana ni mamluki au wakala wa usalama wa taifa wa nchi jirani aliyetumwa kutuchimbachimba na kujipenyeza katika ngazi za uongozi na hivyo kujua siri za nchi?

Ni wazi anaweza kupata fursa ya kukaa na Rais wa nchi,Spika,na Jaji Mkuu,je hatakuwa akivujisha taarifa hizo kwa nchi aliyozaliwa?

Nauliza tu!
Yaani wewe Chinembe utakua unawashwa eeh? Amesajiliwa vp kama mwanachama wa TLS ikiwa siyo Mtanzania?

Membe Jr
 
Sidhani hicho ni kikwazo sababu kama TLS mlimchagua raia wa nchi nyingine raia wa Nchi ya Zanzibar Nchi yenye Raisi na serikali yake Fatuma Karume kuwa Raisi wa TLS basi raia wa nchi yeyote duniani hata Somalia aweza kuwa Raisi wa TLS as long as ni mwanachama wa TLS.Mleta mada unaonekana ni wakili bwege tu
Zanzibar iko TanzaNia au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tetesi zinavuma kwamba huyu bwana ni mzaliwa was Kenya,na kwamba hata wazazi wake ni wa huko Kenya,ujaluoni.

Je katiba ya TLS inaruhusu hata wasio raia kugombea urais was taasisi hii? Watakuwa na nguvu ipi kukosoa uongozi wa Tanzania bila kuonekana ni mamluki au wakala wa usalama wa taifa wa nchi jirani aliyetumwa kutuchimbachimba na kujipenyeza katika ngazi za uongozi na hivyo kujua siri za nchi?

Ni wazi anaweza kupata fursa ya kukaa na Rais wa nchi,Spika,na Jaji Mkuu,je hatakuwa akivujisha taarifa hizo kwa nchi aliyozaliwa?

Nauliza tu!
Huyu jamaa alisoma Tambaza akiitwa Eliya au White .Alikuwa headboy pale .Nakumbuka kunji la 2000 Udsm akiwa flesher alivyopita juu ya meza pale Nkurumah kutoka mlangoni nyuma hadi jukwaa kuu.Nilipomuona anashabikia Ccm baadaye nikampuuza kuliko upuuzi wenyewe.Kwa ufupi in kibaraka was Mumiani yaani ccm.Alikuwa mgombea mpinzani wa Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani hicho ni kikwazo sababu kama TLS mlimchagua raia wa nchi nyingine raia wa Nchi ya Zanzibar Nchi yenye Raisi na serikali yake Fatuma Karume kuwa Raisi wa TLS basi raia wa nchi yeyote duniani hata Somalia aweza kuwa Raisi wa TLS as long as ni mwanachama wa TLS.Mleta mada unaonekana ni wakili bwege tu
Hiyo unayosema nchi nyingine
Mbona mnaikombatia iwachieni basi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tetesi zinavuma kwamba huyu bwana ni mzaliwa was Kenya,na kwamba hata wazazi wake ni wa huko Kenya,ujaluoni.

Je katiba ya TLS inaruhusu hata wasio raia kugombea urais was taasisi hii? Watakuwa na nguvu ipi kukosoa uongozi wa Tanzania bila kuonekana ni mamluki au wakala wa usalama wa taifa wa nchi jirani aliyetumwa kutuchimbachimba na kujipenyeza katika ngazi za uongozi na hivyo kujua siri za nchi?

Ni wazi anaweza kupata fursa ya kukaa na Rais wa nchi,Spika,na Jaji Mkuu,je hatakuwa akivujisha taarifa hizo kwa nchi aliyozaliwa?

Nauliza tu!
Kama uivyosema ni tetesi. means mpaka vyombo vya usalama vitoe tamko la uhakika.
Siku zote huwez kufanya maamuzi kisa tetesi untik taarifa sahihi zitakapo toka.

Japo kuwa post yako imekaa kisiasa ila unapoint nyepesi sana. Embu tafuta point za kueleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani hicho ni kikwazo sababu kama TLS mlimchagua raia wa nchi nyingine raia wa Nchi ya Zanzibar Nchi yenye Raisi na serikali yake Fatuma Karume kuwa Raisi wa TLS basi raia wa nchi yeyote duniani hata Somalia aweza kuwa Raisi wa TLS as long as ni mwanachama wa TLS.Mleta mada unaonekana ni wakili bwege tu
Fala wewe acha kupandikiza ubaguzi wako wa kisengesenge haoa k$@@ wewe

MHUBIRI 4:13 SUV

"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
 
Huyu jamaa alisoma Tambaza akiitwa Eliya au White .Alikuwa headboy pale .Nakumbuka kunji la 2000 Udsm akiwa flesher alivyopita juu ya meza pale Nkurumah kutoka mlangoni nyuma hadi jukwaa kuu.Nilipomuona anashabikia Ccm baadaye nikampuuza kuliko upuuzi wenyewe.Kwa ufupi in kibaraka was Mumiani yaani ccm.Alikuwa mgombea mpinzani wa Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia pia alibadili majina yote,alikuwa anaitwa Elia William,sasa hivi anaitwa Geoffrey Wasonga,nina wasiwasi na vyeti vyake,angekuwa serikalini angetumbuliwa.Kwa nini mtu abadili jina lake, la baba na la ukoo? je anauficha ukenya wake kwa kucheza mchezo wa kubadili majina? Hii ndio tabia ya majasusi kuficha utambulisho(camouflage),Mara nyingi tunabadili jina LA kwanza tu kama tumebadili dini au kama mwanamke kaolewa. Sijui TLS itakubali kuongozwa na mtu ambaye hata majina yake kihistoria yanatia ukakasi na utata!!!!
 
Hizi tetesi zinavuma kwamba huyu bwana ni mzaliwa was Kenya,na kwamba hata wazazi wake ni wa huko Kenya,ujaluoni.

Je katiba ya TLS inaruhusu hata wasio raia kugombea urais was taasisi hii? Watakuwa na nguvu ipi kukosoa uongozi wa Tanzania bila kuonekana ni mamluki au wakala wa usalama wa taifa wa nchi jirani aliyetumwa kutuchimbachimba na kujipenyeza katika ngazi za uongozi na hivyo kujua siri za nchi?

Ni wazi anaweza kupata fursa ya kukaa na Rais wa nchi,Spika,na Jaji Mkuu,je hatakuwa akivujisha taarifa hizo kwa nchi aliyozaliwa?

Nauliza tu!
Hata Jeipm tetesi zilizopo ni Mhutu wa Rwanda
 
Sidhani hicho ni kikwazo sababu kama TLS mlimchagua raia wa nchi nyingine raia wa Nchi ya Zanzibar Nchi yenye Raisi na serikali yake Fatuma Karume kuwa Raisi wa TLS basi raia wa nchi yeyote duniani hata Somalia aweza kuwa Raisi wa TLS as long as ni mwanachama wa TLS.Mleta mada unaonekana ni wakili bwege tu
Futeni mipaka kwenye vichwa vyenu. Iache mipaka kwenye ramani na makaratasi. We are about start a political union.
 
Back
Top Bottom