Habari zenu wadau wa JF,moja kwa moja niende kwenye mada husika,kama tunavyojua na kufahamu kuwa Facebook ni moja kati ya mitandao ya kijamii muhimu sana katika dunia ya sasa,licha ya hivyo mtandao huu umekuwa ukitumia taarifa zilizo kwenye simu ya mtu hususani majina ya watu au namba za walio kwenye phone book ndio unazikuta kule Facebook.Wajuzi wa mambo naombeni mchango wenu hapa kidogo,Je Facebook ni wadukuzi...?.
REDUCED FREEDOM GIVE ROOM TO NEGATIVITY.
REDUCED FREEDOM GIVE ROOM TO NEGATIVITY.