WASEMA KWELINafanya kautafti ,nahitaji maoni yenu wana jamii wenye maono ya mbali.
Je hii media ni wachochezi au hapana?
Jibu ndio au hapana ?
Kwa hiyo ameacha tabia iliyoakisiwa hapo?wewe ndio mchochezi,hiyo katuni ni ya muda mrefu leo hii umeiweka ili iweje na swali lako hilo?