Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Sababu zitakazofanya Batilda apewe nafasi ya URC Dar ni kwamba Mwana mama huyu yupo katika hali mbaya kifedha kutokana na mchakato wa kura za jimbo la Arusha. Madeni aliyonayo hayalipiki mwanangu. Si Masha, Diallo, Shamsa, Msola, Kimiti, Mzindakaya, Chiligati, wala Khatibu walio na shida aliyonayo Batilda. vilevile nafasi aliyokuwa nayo awali haikuwa na ulaji wa kutosha. Huwezi kumlinganisha na Shamsa ambale alikuwa Wizara ya utalii na maliasili- Kumbuka kwa Shamsa Makusanyo ya siku moja tu ya watalii wanaopita Gate la Ngorongoro Conservation Area yanamtosha kuishi yeye na uko wake miaka ishirini bila kufanya kazi, hivyo kwa kuwa ni mwanachama wa genge la walanchi lakini hana tatizo alilonalo Batilda na ndio maana msaada unahitajika kununusu maisha yake kwa kupewa nafasi nyeti ya URC Dar.
Hapo kweny Red
Kwa upeo wako wa ufahamu mapato ya kuingia kwenye hifadhi (park entrance fees) yanaingia mfukoni kwa waziri!!!!!!!!!!