Wadau, kuna tetesi kuwa Batilda Buriani anaweza kupewa U-RC Dar, je atauweza?
mmmh hapo atachemsha saaaana tu labda wampe huko mkoani
Wadau, kuna tetesi kuwa Batilda Buriani anaweza kupewa U-RC Dar, je atauweza?
Kwanini Batilda na wala siyo Masha, Diallo, Marmo, Shamsa Mwangunga, Prof. Msola, Paul Kimiti, Mzindakaya, Chiligati, Khatibu?
Wadau, kuna tetesi kuwa Batilda Buriani anaweza kupewa U-RC Dar, je atauweza?
Hata Asijaribu maana atakuwa amemmaliza kisiasa. Historia inasema wanawake wote walio wahi kuwa Ma RC DSM wamekwisha kisiasa. unamkumbuka Mary Chipungahelo?
kwani we hujui weakness ipo wapi haswa
Wadau, kuna tetesi kuwa Batilda Buriani anaweza kupewa U-RC Dar, je atauweza?