​
Kipindi cha nyuma nilikua nadhani kila "superstar" ni "role model" hasa nilipokua nafuatilia sana habari za watu mbalimbali maarufu duniani.
Tanzania ukitaja Super Star huwezi kumwacha Diamond,
ni mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa tena kwa muda mfupi, Big Up Bro!
Lakini mwenendo na tabia zake za kubadili wanawake, kibaya zaidi picha mbaya zinazo zagaa mitandaoni na ukijaribu kuangalia pozi unagundua kabisa ilikusudiwa kupigwa. Mi ndhani hii si sawa, vijana wengi sasa naona wanataka kuwa Maarufu ili wapate wapenzi wengi. Hili limenipa shida kuamini kama kweli Diamond ni "ROLE MODEL"
Kipindi cha nyuma nilikua nadhani kila "superstar" ni "role model" hasa nilipokua nafuatilia sana habari za watu mbalimbali maarufu duniani.
Tanzania ukitaja Super Star huwezi kumwacha Diamond,
ni mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa tena kwa muda mfupi, Big Up Bro!
Lakini mwenendo na tabia zake za kubadili wanawake, kibaya zaidi picha mbaya zinazo zagaa mitandaoni na ukijaribu kuangalia pozi unagundua kabisa ilikusudiwa kupigwa. Mi ndhani hii si sawa, vijana wengi sasa naona wanataka kuwa Maarufu ili wapate wapenzi wengi. Hili limenipa shida kuamini kama kweli Diamond ni "ROLE MODEL"