Pole kwa majukumu wana jamii.
Nina changamoto ya kiafya, mwaka 2023 nilipa bahati ya kupata kazi sehemu kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi, wakati wa kipindi hicho sikuweza kutoka nje ya eneo langu kwa muda wote hivyo kuwa na mwanamke ikaniwia ngumu. Baada ya kumaliza mkataba na kurudi nyumbani nililala na mke wangu vizuri tu, ila nilienda round 3 usiku mzima na baada ya hapo siku zilizofuata nimekuwa nikienda Round 2 usiku kucha na siku nyingine 1 na muda mwingine nakuwa sina hamu nae kabisa hata wiki, leo numeenda hospital na kupewa dawa zinazofahamika kama SAHEAL na kuambiwa nitumie baada ya wiki mbili nirudi kwa dr.
Hoja yangu ni je dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji kwani nilipomueleza dr hakunipima kipimo chochote kile?
Nina changamoto ya kiafya, mwaka 2023 nilipa bahati ya kupata kazi sehemu kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi, wakati wa kipindi hicho sikuweza kutoka nje ya eneo langu kwa muda wote hivyo kuwa na mwanamke ikaniwia ngumu. Baada ya kumaliza mkataba na kurudi nyumbani nililala na mke wangu vizuri tu, ila nilienda round 3 usiku mzima na baada ya hapo siku zilizofuata nimekuwa nikienda Round 2 usiku kucha na siku nyingine 1 na muda mwingine nakuwa sina hamu nae kabisa hata wiki, leo numeenda hospital na kupewa dawa zinazofahamika kama SAHEAL na kuambiwa nitumie baada ya wiki mbili nirudi kwa dr.
Hoja yangu ni je dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji kwani nilipomueleza dr hakunipima kipimo chochote kile?