the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,929
Kifupi turudi vitabu vya dini vilivyosema hizi gharama za misiba ya sifa tutaiepuka, siku hizi msibani budget mpaka ya mziki ipo dah sad sana.
Nashukuru wazazi wangu kunikuza katika imani ya kiislam na nikifa nizikwe kiislam no kulala kwenye friji, no majeneza, no muziki,no misafara ya magari In Sha Allah
Nashukuru wazazi wangu kunikuza katika imani ya kiislam na nikifa nizikwe kiislam no kulala kwenye friji, no majeneza, no muziki,no misafara ya magari In Sha Allah