TheCrazy Mchokozi
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 181
- 252
Ungependelea Mwili wako upitie hali ipi siku ya kifo chako, Udongoni au kwenye moto mkali
Nimekuwa na huu mjadala na baadhi ya marafiki wangu wa karibu kwani tupo katika Mazingira ya hospitali na tunaona watu wakija kuchukua miili ya wapendwa wao kwa ajili ya mazishi
Ila kwa sasa Mazishi yameanza kuwa ya gharama kubwa na pesa nyingi zinatumika katika Procedure nzima ya burial ( Kama umeona mazishi ya siku hizi)
Baada ya kuona haya ilifika mahali tukahoji swala la Cremation,... Je ni kosa au vibaya kumchoma mtu mpaka kuwa jivu (disposing corpses by burning them to Ashes)
Cremation kwa kuangalia inapunguza unnecessary costs za msiba ukizingatia wengi sasa wamefanya mazishi kuwa njia ya kipato.
Je kisheria mtu ana haki ya kuchagua cremation kama njia ya burial ikitokea amefariki?!
Baada ya cremation wahusika wa marehemu uchukua jivu(ashes of the deceased); Wengine urushia lile jivu baharini, wengine utafuta chungu(pot or urn) na kuweka hii jivu kama njia ya kumbukumbu
Wengi wanaoachagua cremation over burial ni wale ambao wanachukia ile fact ya kuoza kwa mwili.
Labda Nijue kwa Wengine kama Swala la Cremation ni swala sahihi na je wewe ungependa mwili wako upitie huduma gani ukifa?!
Nimekuwa na huu mjadala na baadhi ya marafiki wangu wa karibu kwani tupo katika Mazingira ya hospitali na tunaona watu wakija kuchukua miili ya wapendwa wao kwa ajili ya mazishi
Ila kwa sasa Mazishi yameanza kuwa ya gharama kubwa na pesa nyingi zinatumika katika Procedure nzima ya burial ( Kama umeona mazishi ya siku hizi)
Baada ya kuona haya ilifika mahali tukahoji swala la Cremation,... Je ni kosa au vibaya kumchoma mtu mpaka kuwa jivu (disposing corpses by burning them to Ashes)
Cremation kwa kuangalia inapunguza unnecessary costs za msiba ukizingatia wengi sasa wamefanya mazishi kuwa njia ya kipato.
Je kisheria mtu ana haki ya kuchagua cremation kama njia ya burial ikitokea amefariki?!
Baada ya cremation wahusika wa marehemu uchukua jivu(ashes of the deceased); Wengine urushia lile jivu baharini, wengine utafuta chungu(pot or urn) na kuweka hii jivu kama njia ya kumbukumbu
Wengi wanaoachagua cremation over burial ni wale ambao wanachukia ile fact ya kuoza kwa mwili.
Labda Nijue kwa Wengine kama Swala la Cremation ni swala sahihi na je wewe ungependa mwili wako upitie huduma gani ukifa?!