GE2025 Je convoy ya Rais katika kampeni zake ina sanifu maisha ya mpiga kura?

GE2025 Je convoy ya Rais katika kampeni zake ina sanifu maisha ya mpiga kura?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

curie

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2020
Posts
1,056
Reaction score
2,443
Wana jamvi Jana nimeona convoy ya mgombea urais tiketi ya CCM aisee ni kufuru tupu zaidi ya matoyota 500.Wakati wakazi kimara wanataabika na mwendo kasi kama wanyama .Hata mazao kama mihogo uwa ina pangwa vizuri kwenye gari..Ni Aibu
 
Wana jamvi Jana nimeona convoy ya mgombea urais tikiti ya CCm aisee ni kufuru tupu zaid ya matoyota 500.Wakati wakazi kimala wanataabika na mwendo kasi kama wanyama .Hata mazao kama mihogo uwa ina pangwa vizuri kwenye gari..Ni Aibu
Kwa ni wewe ndiye yule wa Lushoto umerudi au mwingine?
 
Wana jamvi Jana nimeona convoy ya mgombea urais tiketi ya CCM aisee ni kufuru tupu zaidi ya matoyota 500.Wakati wakazi kimara wanataabika na mwendo kasi kama wanyama .Hata mazao kama mihogo uwa ina pangwa vizuri kwenye gari..Ni Aibu
Na watampigia kura, haaaaaaaaaaaaaa, na baadaye wanaanza kulalamika maisha
 
Samia hana uchungu kabisa na pesa au rasilimali za watanganyika, nina uhakika angekuwa ndio anagombea huko kwao zanzibar asingefanya matumizi ya kufuru hivi yasiokuwa na tija kwa pesa za walipa kodi.
 
Wahuni wamejipanga kuhakikisha sa100 wao anasalia ikulu kwa gharaza za masikini!
 
Back
Top Bottom