Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
Duh
Jaguar
Kumbuka pia chatu anapowinda hakurupuki uwindaji wa chafu ni ambush anaweza kuviZia kujificha kwa muda hata siku kadhaa anakulia tyming sasa kwa hali hyo huwezi kutoka salama anapokushambuliaYaap upo sahihi kabisa, yani kumla Simba, chui , tiger , jaguar au hata duma sio kazi rahisi Kwa chatu, wale majamaa hawanaga masihara, they fight miserably wanapoona wapo hatarini, in short sio kazi rahisi may be abahatishe ambaye sio mzima kiafya, mdogo au ni Mzee Sana, vinginevyo labda amfume amelala but whatever the situation those big cats never accept defeat so easily.....!!!
Wanyama jamii ya paka wako aggressive sana. Wanaiona ile ambush ya chatu kama slow motion vile. Kingine chatu anapendelea wanyama wanaokula majani kwa kuwa si rahisi kujilinda. Chatu akimvamia simba wanaweza wakafa wote kitu ambacho anaona ni hatari kwake.Ku
Kumbuka pia chatu anapowinda hakurupuki uwindaji wa chafu ni ambush anaweza kuviZia kujificha kwa muda hata siku kadhaa anakulia tyming sasa kwa hali hyo huwezi kutoka salama anapokushambulia
Cha kwanza anakubana mikono usifurukute, then shughuli ya kuvunja mbavu inaanzaHivi chatu akikubana na mwili wake kweli hauwezi kujiondoa How it is powerful.