Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Waungwana,
Uongozi wa Chadema chini ya Mbowe ulitangazia watanzania uamuzi wa kususia ruzuku hadi pale kutakapokuwa na "tume huru ya uchaguzi" na katiba mpya.
Hadi sasa mambo yako vilevile na hakuna dalili ya mabadiliko.
Je, Mbowe ataendelea kugomea ruzuku hata baada ya kutoka jela?
Uongozi wa Chadema chini ya Mbowe ulitangazia watanzania uamuzi wa kususia ruzuku hadi pale kutakapokuwa na "tume huru ya uchaguzi" na katiba mpya.
Hadi sasa mambo yako vilevile na hakuna dalili ya mabadiliko.
Je, Mbowe ataendelea kugomea ruzuku hata baada ya kutoka jela?