Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
- Thread starter
-
- #41
Chukuwa hii mwaka 2010 katika jimbo la Uzini Chadema walishika nafasi ya pili kwa kupata 7.6%.
Mwaka 2012 Chadema walishika tena nafasi ya pili Uzini kwa kupata 4%.
Sasa kama una akili tafakari chukua hatua.
Salaam kwa Malaria Sugu, Rejeo, Ritz, Faizay Fox na wengine wanaoamini katika udini.
Tumeaminishwa kwamba chadema ni chama cha wakristo lakini kimeshika namba 2 kwenye uchaguzi wa jimbo la Uzini, Zanzibar mbele ya CUF ingawa wapo wanaoamini kwamba CUF ni chama cha Waislamu kimekuwa namba 3.
Hakuna chama cha kidini nchi hii.
Uchaguzi huu umetusaidia kujua kwamba kauli mbiu ya udini inachochewa na kundi la watu wachache kwa maslahi yao binafsi lakini naapa hawatashinda. Wenye haki ya kuzuia udini watashinda.
Faizay Fox na wenzake wamejaribu sana kuitangaza chadema ni chama cha wakristo, mnasemaje kuhusu hili JF.
we Hamza, siku ile kampeni zinaanza ulituambia chadema walikuwa kanisani wakihamasisha waumini wakitoka waelekee kwenye kampeni, leo unauliza nini!?
Inna lillahi wainna ilaihi rajihunna.
Huu ni muswiba mkubwa sana.
Kwa kosa gani alilofanya mpaka kupigwa BAN ya maisha?
Inna lillahi wainna ilaihi rajihunna.
Huyo jamaa ana chuki kuu ya kidini
Inna lillahi wainna ilaihi rajihunna.
Huu ni muswiba mkubwa sana.
Kwa kosa gani alilofanya mpaka kupigwa BAN ya maisha?
Inna lillahi wainna ilaihi rajihunna.
CDM imepata ushindi mkubwa.Udini ziiiiiii...
Sasa sijui mie takujibu nini hata historia ya Chadema huijui unasema Chadema hawakuwa na mgombea Uzini uchaguzi uliopita.
Nenda kawaulize viongozi wako watakuambia vizuri kama Chadema walikuwa hawana mgombea jimbo Uzini, wewe unaonekana ni Chadema-Kata.
Mie sio Chadema lakini najua kuwa Chadema walikuwa na mgombea Uzini uchaguzi uliopita. au kwa ili nalo unataka tuminyane?
Hoja yangu haipo kwenye asilimia? wanajamvi wanakuona unavyohangaika kujiokoa na dhambi yako ya udini.
Mkuu wa Chuo.
Kumbuka kuwa sijakuambia bali niliandika. maana yake sikumbuki wapi nilikwambia.
Lakin kama ipo sehemu niliandika hivyo. nakuomba uiweke hapa ili tuijadili na kama ikithibitika hivyo nitakuwa wa kwanza kujipiga BAN milele pasi na kuwasubiri Mods.
Salaam kwa Malaria Sugu, Rejeo, Ritz, Faizay Fox na wengine wanaoamini katika udini.
Tumeaminishwa kwamba chadema ni chama cha wakristo lakini kimeshika namba 2 kwenye uchaguzi wa jimbo la Uzini, Zanzibar mbele ya CUF ingawa wapo wanaoamini kwamba CUF ni chama cha Waislamu kimekuwa namba 3.
Hakuna chama cha kidini nchi hii.
Uchaguzi huu umetusaidia kujua kwamba kauli mbiu ya udini inachochewa na kundi la watu wachache kwa maslahi yao binafsi lakini naapa hawatashinda. Wenye haki ya kuzuia udini watashinda.
Faizay Fox na wenzake wamejaribu sana kuitangaza chadema ni chama cha wakristo, mnasemaje kuhusu hili JF.
Molemo.
Chadema inabidi wajitafakur kama watakuwa chama makini na viongozi makini.
Wasitafute mchawi kwa kushindwa kwao. Mchawi ni kauli zao Bungeni na nje ya bunge kuhusu Znz na waZnz. Vile vile walitakiwa wasome alama za nyakati kuhusu siasa za Znz.
Lakin la mwisho viongozi wawe na huruma na pesa za posho walizo zoa kule Uzini. Kwani walijua kabisa wanashindwa bali waliongopa kuwa wana nafasi kubwa ya kushukua jimbo hilo.
Nafikiri sasa ni wakti wa kuwachukulia hatua kali viongozi walioweka kami Uzini na kuzoa posho bila kusema ukweli kuwa hakuna uwezekano wa kushinda. Chini ya 5% ni aibu kubwa sana ka Chadme na watendaji wakuu waliweka kambi huko.
Nipe maana ya Udini naona unapapwaja tu!
alikuwa ana maneno machafu, sasa Hamza naomba nikuulize eti kipindi kile ulipopata Div I point 10 ukachaguliwa Ilboru katibu wa necta alikuwa dini gani maana kuna sheikh ametoa sababu za kisayansi eti katibu ni sababu ya shule na wanafunzi wa kiislamu kufanya vibaya. Na watu wakampigia makofi.
Acha uongo wako.CDM haikuweka mgombea kwenye nafasi ya uwakilishi
kuna thread moja sema nimeisahau tena ilikuwa siku ya Jumapili, lakini hayo maneno yako hayakunifurahisha.
Wewe ni Chadema-kata hujui chochote muulize Mbowe kama Chadema hawakuweka na mgombea Uzini, uchaguzi uliopita.