Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Salaam kwa Malaria Sugu, Rejeo, Ritz, Faizay Fox, Barubaru na wengine wanaoamini katika udini.
Tumeaminishwa kwamba chadema ni chama cha wakristo lakini kimeshika namba 2 kwenye uchaguzi wa jimbo la Uzini, Zanzibar mbele ya CUF ingawa wapo wanaoamini kwamba CUF ni chama cha Waislamu kimekuwa namba 3.
Hakuna chama cha kidini nchi hii.
Uchaguzi huu umetusaidia kujua kwamba kauli mbiu ya udini inachochewa na kundi la watu wachache kwa maslahi yao binafsi lakini naapa hawatashinda. Wenye haki ya kuzuia udini watashinda.
Faizay Fox na wenzake wamejaribu sana kuitangaza chadema ni chama cha wakristo, mnasemaje kuhusu hili JF.
Tumeaminishwa kwamba chadema ni chama cha wakristo lakini kimeshika namba 2 kwenye uchaguzi wa jimbo la Uzini, Zanzibar mbele ya CUF ingawa wapo wanaoamini kwamba CUF ni chama cha Waislamu kimekuwa namba 3.
Hakuna chama cha kidini nchi hii.
Uchaguzi huu umetusaidia kujua kwamba kauli mbiu ya udini inachochewa na kundi la watu wachache kwa maslahi yao binafsi lakini naapa hawatashinda. Wenye haki ya kuzuia udini watashinda.
Faizay Fox na wenzake wamejaribu sana kuitangaza chadema ni chama cha wakristo, mnasemaje kuhusu hili JF.