Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
- Thread starter
- #41
Chukuwa hii mwaka 2010 katika jimbo la Uzini Chadema walishika nafasi ya pili kwa kupata 7.6%.
Mwaka 2012 Chadema walishika tena nafasi ya pili Uzini kwa kupata 4%.
Sasa kama una akili tafakari chukua hatua.
Hoja yangu haipo kwenye asilimia? wanajamvi wanakuona unavyohangaika kujiokoa na dhambi yako ya udini.