Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Hivi bunge linaweza kutunga sheria na kubadilisha katiba inayosema kila miaka mitano ni uchaguzi.
Zipo tetesi watawala wanajipanga kuusogeza uchaguzi kisa Korona lakini mamlaka wanayatoa wapi?
Hata nec huo ubavu hawana labda kibali kitolewe na mahakama kuu na hata mahakama kujadili matukio yasiyoweza kuthibitika kama ya mwezi wa Oktoba Korona itakuwaje haiwezi kuyakadiria
Labda, bunge libadili katiba na kujipa mamlaka ya kujiongezea muda wa kuendelea kulamba kodi zetu bila ridhaa ya wapiga kura
Swali la kujiuliza watawala wanaiogopa Korona au wanaiogopa ghadhabu ya mpiga kura maana miaka mitano kwisha na hakuna la maana kwa mpigakura?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo tetesi watawala wanajipanga kuusogeza uchaguzi kisa Korona lakini mamlaka wanayatoa wapi?
Hata nec huo ubavu hawana labda kibali kitolewe na mahakama kuu na hata mahakama kujadili matukio yasiyoweza kuthibitika kama ya mwezi wa Oktoba Korona itakuwaje haiwezi kuyakadiria
Labda, bunge libadili katiba na kujipa mamlaka ya kujiongezea muda wa kuendelea kulamba kodi zetu bila ridhaa ya wapiga kura
Swali la kujiuliza watawala wanaiogopa Korona au wanaiogopa ghadhabu ya mpiga kura maana miaka mitano kwisha na hakuna la maana kwa mpigakura?
Sent using Jamii Forums mobile app