Je, binadamu yupo na backteria katika mwili wake?

Je, binadamu yupo na backteria katika mwili wake?

Apollo tyres

Senior Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
134
Reaction score
363
Ukichukua maiti ukaiweka sehemu safi mfano katika vigae au kitandani,

Hii maiti ikianza kuoza wale bacteria (wadudu) ambao huanza kuibuka je huwa wanatoka wapi?

Kama ni katika mwili means ndani ya Mwili wa binadamu kuna hao backteria ?
 
Sisi binadamu hatujaumbwa na Mungu.
Kama vile wadudu wanavyotokea kwenye mzoga, hata sisi tumetokea hivyo hivyo.
🤣🤣🤣 Bora niamini hivyo kuliko kuamini kwamba tumeumbwa na Mungu mwenye Upendo wote halafu anaruhusu mabalaa yanawapata wanadam aliowaumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom