munyinya
Member
- Jul 31, 2015
- 35
- 10
Leo nimefikiria swali moja; Je, mimi ni mwili au ni roho?
Nimefikiria kinachotokea mpaka mtoto anazaliwa nimeshindwa kupata jibu.
Hebu fikiria kama nilivyofikiri mimi. Utagundua mwili ni kama gari umepewa uendeshe ila kuna baadhi ya vitu huwezi kuvifanya na vinatokea vyenyewe.
Mimi najiuliza tunapozaa watoto inakuwaje waitwe wa kwetu wakati hatujashiriki kuwatengeneza ila miili yetu yenyewe ndo imetengeneza?
Concept yangu ni hii, ikiwezekana wanasayansi wakaweza kutengeneza mwili sawa na wa binadam na wakawa na uwezo wa kuhamisha roho kutoka mwili mmoja kwenda mwingne basi tutakuwa tumekikwepa kifo.
Nimefikiria kinachotokea mpaka mtoto anazaliwa nimeshindwa kupata jibu.
Hebu fikiria kama nilivyofikiri mimi. Utagundua mwili ni kama gari umepewa uendeshe ila kuna baadhi ya vitu huwezi kuvifanya na vinatokea vyenyewe.
Mimi najiuliza tunapozaa watoto inakuwaje waitwe wa kwetu wakati hatujashiriki kuwatengeneza ila miili yetu yenyewe ndo imetengeneza?
Concept yangu ni hii, ikiwezekana wanasayansi wakaweza kutengeneza mwili sawa na wa binadam na wakawa na uwezo wa kuhamisha roho kutoka mwili mmoja kwenda mwingne basi tutakuwa tumekikwepa kifo.