je?bao moja tu naweza pata HIV?

njia ya uhakikaa ya kujua kama uko salama or not ni kupima so nenda kapime sasa na baada ya miez mitatu, then badili tabia kama ilivyo kuwa rahisi kwa magonjwa mengine kuingia mwilin na ugumu kutoka ndivyo ulivyo UKIMWI, na balaa zaid la ugonjwa huu ni kuwa likiingia limefika,,,,,
 
Kabao kamoja hata hao HIV wenyewe wanaona aibu kuingia. Uko salama mzazi, kitu muhimu kapime malaria. Malaria ndio haikubaliki
 
Ukimwi sijui sana ila kuihamishia mimba mgongoni ndio najua.

Mtalingolo mbona unaniaga mapema ivo?mm nipo kwenye research yangu...kujua uelewa wa watu juu ya UKIMWI na VVU...nakusanya data taratiiibu
 
Last edited by a moderator:
Kama ulilainisha vya kutosha uko poa mkuu! Mi style hiyo naitumia sana, tena next time umwage nnje ndio utakuwa salama zaidi hata STDs hutapata!
 
Sasa kama una mchubuko kwenye vidole na wewe umemchezea nusu saa nzima si unaupata tu! Au unafikiri mchubuko mpaka uumeni?
 
Kama ulilainisha vya kutosha uko poa mkuu! Mi style hiyo naitumia sana, tena next time umwage nnje ndio utakuwa salama zaidi hata STDs hutapata!

kitu ilikua shaaa!...no resistance no pekechapekecha!!.. saragossa!
 
Last edited by a moderator:
Kama ulilainisha vya kutosha uko poa mkuu! Mi style hiyo naitumia sana, tena next time umwage nnje ndio utakuwa salama zaidi hata STDs hutapata!

Mkuu hii ya kwako kali na ni elimu mpya!!! Ukimwaga nje ndo hupati STD? Kwa taarifa yako STDs unaweza kupata hata kwa kushare taulo tu bila hata kugusana. Tafadhali usiwamislead wanajamvi!!!
 
Mkuu pole sana kama unaweza nenda manzese ukanunue kaburi mapena na sanda usubiri kufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom