Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,577
- 15,925
Kwa mfumo alioutengeneza Hayati John Pombe Magufuli ni wazi kuwa mpaka sasa wana CCM walio wengi wakiwemo waheshimiwa wabunge wanaliogopa kaburi la Magufuli.
Magufuli alikuwa aliyefanikiwa kuweka mfumo wake kuanzia Wabunge, kwenye chama na utumishi wa Umma wakiwemo watu wa Idara ya Usalama wa Taifa huku kote aliweka watu wanaomuogopa na kufuata lolote analosema hata kama halina manufaa kwa nchi.
Ninachokiona mpaka sasa Baadhi ya wateuliwa wana hofu ya kumuogopa Magufuli. Tumeona bungeni wakisema legacy ya Magufuli italindwa kwa namna yeyote na hakuna ruhusa ya kumsema vibaya marehemu.
Huu mfumo utamtesa sana Samia Suluhu kuelekea mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi tarehe 30. Wanataka kumtoa Uenyekiti ili waweze kumwajibisha ikiwezekana atawale kwa kipindi kimoja tu. Mungu akusaidie Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Magufuli alikuwa aliyefanikiwa kuweka mfumo wake kuanzia Wabunge, kwenye chama na utumishi wa Umma wakiwemo watu wa Idara ya Usalama wa Taifa huku kote aliweka watu wanaomuogopa na kufuata lolote analosema hata kama halina manufaa kwa nchi.
Ninachokiona mpaka sasa Baadhi ya wateuliwa wana hofu ya kumuogopa Magufuli. Tumeona bungeni wakisema legacy ya Magufuli italindwa kwa namna yeyote na hakuna ruhusa ya kumsema vibaya marehemu.
Huu mfumo utamtesa sana Samia Suluhu kuelekea mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi tarehe 30. Wanataka kumtoa Uenyekiti ili waweze kumwajibisha ikiwezekana atawale kwa kipindi kimoja tu. Mungu akusaidie Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.