james ngumbe
Member
- Mar 8, 2014
- 58
- 30
Kumchunia kwnye mawasiliano coz labda ulikua mnawasiliana kabla hujamtongoza ndo mana anasema unamchunia. Ila Piga chini utapoteza mda tusasa kama HANIPENDI..kinachomfanya alalamike eti namchunia siku izi anamaana gani sasa?
Kuna binti nilimtongoza akanichomolea nje kwa kusema tiyari ana BOY FRIEND..japo alisema ivo ila tuliendelea kuwasiliana kama kawaida coz nilikuwa na mawasiliano yake..
SASA KINACHONITATIZA...
Kila siku mimi ndie ninayeanzisha mazungumzo ya kuwasiliana,hajawai hata siku moja kuanza yeye,,
Siku moja nilimpigia simu akawa hakupokea,tangu siku hiyo nilijua kuwa amenipuuzia,labda anaona najipendekeza kwake..nikaamua kama WIKI 2 kuwa kmya bila kumjulia hali..
Siku mmoja nikakutana nae face to face,tukasalimiana baada ya hapo akaanza kulalamika...(ETI SIKU HIZI NIMEANZA KUMCHUNIA..),akaniuliza KWANINI?..nikamjibu nakuwa BUSY tu wala sijamchunia.
SWALI LANGU
Je huyo binti ana elements za kunipenda ama?,,,,,,,