kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Maisha yanaenda kasi saana
Kuna dada fulani mtaani kwetu bado ni mgeni. Huyo dada na muonanaga anapita maeneo ya home kila siku asubuhi na jioni. Anatusalimia na kupita zake
Jana akapita baada ya dakika fulani akarudi tena na kuniita. Eti msamahani kaka joo. Nikaenda kufika pale alipokuwa akaniuliza swali. Je hivi wewe kaka ni kipofu huoni?. Nikamjibu naona. Akasema ninavyo pitaga hapa mara kwa mara unaonaga. Nikajibu ndio. Alafu Akacheka zake na kuondoka
Mpaka sasa bado najiuliza huyu sister ana maana gani.
Je, inawezekana ananipenda au ni mtego huu ndugu zangu
Kuna dada fulani mtaani kwetu bado ni mgeni. Huyo dada na muonanaga anapita maeneo ya home kila siku asubuhi na jioni. Anatusalimia na kupita zake
Jana akapita baada ya dakika fulani akarudi tena na kuniita. Eti msamahani kaka joo. Nikaenda kufika pale alipokuwa akaniuliza swali. Je hivi wewe kaka ni kipofu huoni?. Nikamjibu naona. Akasema ninavyo pitaga hapa mara kwa mara unaonaga. Nikajibu ndio. Alafu Akacheka zake na kuondoka
Mpaka sasa bado najiuliza huyu sister ana maana gani.
Je, inawezekana ananipenda au ni mtego huu ndugu zangu