Je, Askofu Gwajima kujivua Uanachama wa CCM kanisani?

Ngoja tusubiri na tuone atakuja na lipi lakini Bado no mtu firm ndani ya ccm kimsimamo na wanalijua Hilo.
 
Pumbavu utapelutapeli kwan unakosali wewe hakuna kutoa sadaka na michango? Au kwa vile hela inakusavywa na Padri au mchungaji ndo unadhani haipokelewi na watu! Mtu kazi yako kukashifu watu ongelea hoja sio kashifa!
Umejibu kwa hasira hadi umeandika ujinga!
 
Badala muwe busy kuangalia jinsi gani mnakinasua chama chenu kwenye umauti nyie mpo busy kufuatilia ishu za wanaume wa CCM
 
Pumbavu utapelutapeli kwan unakosali wewe hakuna kutoa sadaka na michango? Au kwa vile hela inakusavywa na Padri au mchungaji ndo unadhani haipokelewi na watu! Mtu kazi yako kukashifu watu ongelea hoja sio kashifa!
Nenda Mirembe hapa siyo sehemu ya watu kama wewe juha nkubwa na senzi kabisa. Mshenge mkubwa we
 
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa Mwanaccm , huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani , na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida .

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
Muulize gwajima maana hayo uliyo ota yako kichwani kwake
 
CcCM wako radhi kuua ili wabaki madarakani milele. Walivyoiba hawawezi kuruhusu mwengine aingie. Kinana tu kwake dollars millions 70 siyo kitu. Kuna wana ccm wana apartments zaidi ya 50 pekee yao tu fikiria. Ni mijizi kupindukia nayatafanya chochote kile yabakie madarakani
miafrica kwa roho mbaya ndo zenu.huyo kinana kaiba lkn si yuko Bongo? Ni muafrica mwenzenu.
Hizo apartment zimejengwa ulaya?
Kwani wao hawana mishahara??
Hata km kaiba na chama kinaenda shida iko wapi? Roho mbaya zitawaua.....mnapenda kuona wenzenu wanateseka....km nyie fursa zooote hizi bado hamidhiki mbwa sana nyie. Wavhezeeni hao hao!!!
 
Kwa kinywa chake aliwahi kutamka kuwa kwa hadhi yake ya uaskofu hawezi kuwa na ushawishi wa kuwa mbungr maana ni kudhalilisha hadhi yakr.
yeye siyo chuma....alisema lkn sasa hajasema ivo.. kulingana na alivoona kuna umuhimuwa kujitolea kusaidia mataga ya sirikalini.kwani kosa liko wapi?? Gwajima wa leo siyo gwajima wa jana... Hivi umesoma kweli.???
 
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa MwanaCCM, huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida.

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
Itapendeza akisepa kabla ya kufukuzwa by the way hakuna anayemuhitaji huko ccm.
 
Na hiyo ofisi ya chama aliyoijenga mwenyewe sijui magwe nini huko ili kuwa ya chama gani vile na aliijenga akiiwa kama nani
Hili ni swali tu lililotokana na mazingira yanayoonekana , nimechezwa na machale tu , ikumbukwe kwamba Gwajima hakuwahi kuwa MwanaCCM, huyu baadaye alikuja kuwa Mfuasi wa Magufuli kutokana na Makubaliano fulani na sasa Magufuli hayupo na kimsingi yale makubaliano yamekufa kifo cha kawaida.

Kama yupo aliyepata fact yoyote kuhusu ibada ya Jumapili hii hapo UFUFUO NA UZIMA basi atuwekee hapa .
 
Ubunge kwake ni kama passport ya kumkingia kifua kumuepusha na mkono wa chuma...

Hivi yupo mbunge tu anaandamwa hivyo, je akikosa hizo kinga za kibunge si atakuwa askofu wa wagungwa Segedansi
 
Back
Top Bottom