Je, asili ya majini ni ipi?

Ndiyo maana nimesema tunatofautiana. ..wewe unavyoelewa na mimi is totally different. ...parallel lines. ..we can never ever meet to agreement. ..
Imani ni assured expectations of things to happen au hope. Nasoma biblia sababu na believe kuwa it's the truth and what is said in it will come true.
 
WHAT IS FAITH. ..stay cool. .na pls don't read my posts na mimi sita soma zako. .I agree to disagree with you. ..have a nice life. ..View attachment 465923
The most common cause of stress is dealing with people who are radical Muslim with terrorism mentality like yours. Burn in hell with your 72 virgins in heaven.
 
Hamna neno jini kwenye biblia! Ni Quran tu inashiriki na majini mpaka ndani ya misikiti!
Na tena asiseme kuwa eti ktk imani ya kiislamu ni kosa mtu kushirikiana na majini, maadam wanawatambua kuwa ni waislamu wenzao (wameumbwa kumuabudu Allah), ndugu wa muislamu ni muislamu mwenzake, imeandikwa hivyo.

Na kimsingi hii ndo tofauti kubwa ya Ukristo na Uislamu, majini au pepo wabaya ktk Ukristo ni malaika waasi na hawana nafasi tena na Mbingu (hawawezi tena kuwa wachamungu), wakati ktk Uislamu majini ni viumbe vilvyoumbwa hivyo, na kama tulivyo wanadamu, nao kuna wema (wachamungu), na waasi wanaomtii shetani.

Hii tofauti ni kubwa sana na inazaa hoja nyingi, na kwa tofauti hii, haiwezekani wakristo kwa waislamu kwa pamoja kwenda mbinguni (kama ipo). Mmojawapo ni muongo mkuubwa,.
 
Nguvu yako katika kuamini ndiyo inayo fanya kazi kwenye miujiza. ..
Ni kweli, ila hizi nguvu haziishii tu ndani yetu. Ziko hata nje yetu, na ni kuu. Nadhani hapo ndiko mantiki ya uwepo wa Mungu na Shetani hutokea,,,,ktk hizo nguvu nje yetu.
 
Ni kweli, ila hizi nguvu haziishii tu ndani yetu. Ziko hata nje yetu, na ni kuu. Nadhani hapo ndiko mantiki ya uwepo wa Mungu na Shetani hutokea,,,,ktk hizo nguvu nje yetu.
Asante sana
 
Go on.

Umewahi kushiriki ibada ya kiislam mara ngapi?

Je ulishuhudia Waislam wakiswali pamoja na majini?

Uliyaona vipi majini wakati wengi tunajuwa hayaonekani?

Unaweza vipi kushiriki ibada na kisichoonekana?

Usipende kukaririshwa tukia akili yako walau kidogo tu ufikiri,

*Nijibu hayo maswali kiufasaha nikuelewe*

-Ukishindwa kuyajibu utakuwa dhalimu kwa kusema usiyokuwa na ufahamu nayo
 
Majini kwa Waislamu ni waumini wa kwanza kabisa kuingia katika uislam.na waliposikia habari ya dini hii walifurah sana na kusilimu kuwa waislam na mpaka leo hii wanasal na waislam bila shida. Kwa wakristo hawa ni waliokuwa malaika wakaasi na lucifer au shetani. Wanaitwa mapepo wabaya. Hawa hakuna mzuri ila wote ni wabaya.walishamuasi Mungu na hakuwasamehe...wapo duniani kushirikiana na shetan ambaye ni baba yao kuwaangusha na kuwatesa binadamu



 
Hao malaika walimuasi mungu kwa jambo lipi yani ni uasi gani waliyoufanya kwa mungu?

Na kwanini wameitwa majini au mapepo badala ya kuendelea kuitwa tu malaika,kwani neno jini au pepo lina maana gani hadi wakaitwa hivyo?

Na ina maana hao majini wana sifa zote za malaika kama walizonazo malaika wengine ila tofauti yao wao walimuasi mungu tu?
 
Ni uasi gani hao malaika waliufanya kwa mungu?

Na je,idadi ya hao malaika waliyomuasi mungu huwa haipungui wala kuongezeka?
 
"Wapo duniani kushirikiana na shetani ambaye ni baba yao"

Ni ipi maana ya neno shetani? na hao malaika waliyomuasi mungu ndiyo hao hao wapo hadi Leo au idadi huwa inaongezeka kwa maana malaika wengine huwa pia wanamuasi mungu na kujiunga hao?
 
Hawa majini miongoni mwao,si ndio yule aliyemzidi Yesu nguvu,akambeba juu kwa juu.Na kumuweka na njaa siku arubaini.
Yaonyesha wana nguvu kuliko Yesu,kwa maana mmoja tu,alimpelekesha sana Yesu.
 
majini ni sawa n mapepo hawa viumbe walikua ni malaika wakiitumikia enzi.mbnguni hawa malaika walimwas mungu wakamfuata shetani sasa hao falling engels from haven ndio hayo majini yanayotusumbua wanadam dunian ni mawakala w shetani
 
Hamna neno jini kwenye biblia! Ni Quran tu inashiriki na majini mpaka ndani ya misikiti!
inategemea umeamua kuita jina gani kwenye kitabu chako lakini haiondoi maana halisi ya kitu mfano mandela aliitwa gaidi na mataifa yenye nguvu duniani ingawa ukweli ilikuwa tofauti.
yapo majini wakristo na wazungu ,wahindi n.k
biblia imebadilishwa na kuchezewa sana na wazungu na hii unayoisoma wewe inawezekana hata bwana trump alishiriki kwenye editing
 
majini ni sawa n mapepo hawa viumbe walikua ni malaika wakiitumikia enzi.mbnguni hawa malaika walimwas mungu wakamfuata shetani sasa hao falling engels from haven ndio hayo majini yanayotusumbua wanadam dunian ni mawakala w shetani
Na idadi yao ndiyo ile ile au huwa wanaongezeka?
 
Mnatafuta muongozo wa jambo wakati imani zenu zinatofautiana? Unataka kumjua jini wakati huamini kama kuna majini?

Wakikiaa waislam peke yao au wakristo peke yao na kutaka kujua kuhusu majini ni rahisi kupata ufumbuzi, sasa hapa kuna mpaka wapagani wasiojua hata majini , ,ashetani na malaika kama wanatofautiana..Hii ni sawa na kucheza ready na kipofu..
 
majini ni sawa n mapepo hawa viumbe walikua ni malaika wakiitumikia enzi.mbnguni hawa malaika walimwas mungu wakamfuata shetani sasa hao falling engels from haven ndio hayo majini yanayotusumbua wanadam dunian ni mawakala w shetani
Nadhani unaongelea shetani..jini ni kiumbe kama sisi binaadam tulivyoumbwa.Ndani yao ndio kuna waasi hawa tutawaita masheitwaani.
 
Kila navojitahidi kusoma hilo andika ndo nazidi kupata ukakasi kama si kuvurugwa zaidi. Maana maelezo yako yamekuwa kivurugeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…