Je, ananipenda au niko dunia yangu?

Je, ananipenda au niko dunia yangu?

FourTwoNet

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2022
Posts
1,403
Reaction score
2,749
Ee bwana ee!

Juzi kati katika hali ya kupita pita hivi niko na mchizi wangu, si tukajikuta tumetulia eneo flani tunapiga stori na mrembo flani wa kishua huku tukimwagilia moyo.

Nikawa najipigia zangu stori tu kiaina, mara pap! Mchizi kaniita pembeni kanipiga na kitu cha "Huyu sista anakufeel ile mbaya". Nikamuuliza, "Umejuaje". Jamaa akafunguka, "Unaweza ukaona tu, anakuuliza maswali kibao, kila saa anakuangalia, na pia anaonyesha kukujali".

Kusema kweli wakuu, hilo sikuwa nimelitazama. Kidogo kidogo, jamaa flani mwingine kaja pale katulia na sisi, katupiga raundi za mvinyo za kutosha, alionekana mtu mwenye mawe yake. Likawa vibe kweli kweli, baada ya muda naona wanapigana mabusu na yule mrembo pale.

Sasa mchizi wangu alishachukuaga namba ya mrembo, akawa amemtext kwa kutumia simu yangu. Ikawa tabia ya mrembo kunipigisha chat hapa na pale. Sasa si nimemtania mrembo anifanyie muamala nikaogeshe moyo. Mara kitu hicho, ujumbe kutoka M-Pesa.

Hivi atakuwa ananipenda au kaamua tu kunioshea wakuu?
 
Si umetumiwa,unataka nn Tena mkuu....Mapenz hayaogopwi kama ni matukio bas popote pale unapata
 
Ee bwana ee!

Juzi kati katika hali ya kupita pita hivi niko na mchizi wangu, si tukajikuta tumetulia eneo flani tunapiga stori na mrembo flani wa kishua huku tukimwagilia moyo.

Nikawa najipigia zangu stori tu kiaina, mara pap!! Mchizi kaniita pembeni kanipiga na kitu cha "huyu sista anakufeel ile mbaya". Nikamuuliza, "umejuaje". Jamaa akafunguka, "unaweza ukaona tu, anakuuliza maswali kibao, kila saa anakuangalia, na pia anaonyesha kukujali"

Kusema kweli wakuu, hilo sikuwa nimelitazama. Kidogo kidogo, jamaa flani mwingine kaja pale katulia na sisi, katupiga raundi za mvinyo za kutosha, alionekana mtu mwenye mawe yake. Likawa vibe kweli kweli, baada ya muda naona wanapigana ma kiss na yule mrembo pale.

Sasa mchizi wangu alishachukuaga namba ya mrembo, akawa amemtext kwa kutumia simu yangu. Ikawa tabia ya mrembo kunipigisha chat hapa na pale. Sasa si nimemtania mrembo anifanyie muamala nikaogeshe moyo. Mara kitu hicho!!! Mesej kutoka M-Pesa.

Hivi atakuwa ananipenda au kaamua tu kunioshea wakuu?
mtego huu
 
Ukienda kuonana naye nakupa ushauri tu tembea na KY unaweza kutumia kwake au ikatumika kwako. Mwanaume unaombaje hela kwa mwanamke?
 
Ee bwana ee!

Juzi kati katika hali ya kupita pita hivi niko na mchizi wangu, si tukajikuta tumetulia eneo flani tunapiga stori na mrembo flani wa kishua huku tukimwagilia moyo.

Nikawa najipigia zangu stori tu kiaina, mara pap! Mchizi kaniita pembeni kanipiga na kitu cha "Huyu sista anakufeel ile mbaya". Nikamuuliza, "Umejuaje". Jamaa akafunguka, "Unaweza ukaona tu, anakuuliza maswali kibao, kila saa anakuangalia, na pia anaonyesha kukujali".

Kusema kweli wakuu, hilo sikuwa nimelitazama. Kidogo kidogo, jamaa flani mwingine kaja pale katulia na sisi, katupiga raundi za mvinyo za kutosha, alionekana mtu mwenye mawe yake. Likawa vibe kweli kweli, baada ya muda naona wanapigana mabusu na yule mrembo pale.

Sasa mchizi wangu alishachukuaga namba ya mrembo, akawa amemtext kwa kutumia simu yangu. Ikawa tabia ya mrembo kunipigisha chat hapa na pale. Sasa si nimemtania mrembo anifanyie muamala nikaogeshe moyo. Mara kitu hicho, ujumbe kutoka M-Pesa.

Hivi atakuwa ananipenda au kaamua tu kunioshea wakuu?
Hadi umri huu hujui kupendwa wewe?
 
Usipopigwa na kitu kizito nimekaa pale...

Demu limepewa mibusu mbele yako afu unalipiga mzinga linakutumia papo hapo ilihali hata hamjuani ?
Mkuu kupigwa na kitu kizito inaeza ikamaanisha nini? Maanake hapa, nimepoteza network.
 
Mkuu utaliwa tabia za udada kuomba omba hela
Ngoja aje akutumie na hela ya lodge na boda boda hapa automatically yeye ndio anakuwa mwamba anakuweka

Halafu sikia hii tabia ya kuandika thread mwanaume unajisifia kuhongwa na demu ife
Sawa mkuu, ntajirekebisha.
 
20220923_154219.jpg
FUTA LA NAZI HILO UMELIONA...?
 
Nenda naye kwa tahadhari...tumia akili za juu(kichwani)kuliko akili za chini.
 
Back
Top Bottom