Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TayariiiKwan awam ya 3 washatoa?
Tuma linkTayariii
Je itakuwepo 4th round ya mkopo au ndo basi tena hamna kitu
Applea matokeo yake haifiki huko kwa mujibu wa Naibu waziri wa Elimu William Ole Nasha ifikapo Nov 30 matokeo ya rufaa yawe tayari.422 waliyobaki ni wale tu watakao appeal matokeo yao ni mwenzi wa kwanza au wa pili mwakani, utaratibu wa appeal utatolewa wiki ijayo.HAPA KAZI TU!!!
Ni kweli inaelekea round 3 ilitoka kabla majina mengine hayajafika HESLB kuonyesha kijana amechaguliwa wapi. Sasa sijui kamahiyo italeta round 4 au ndo anaetaka aingie kwenye kapu la appeal.Awamu ya nne ipo kwa idadi iliyo baki maana kuna wale wa multiple admission ambao walifanya usajili vyuoni mwisho ilikuwa ni jana tarehe 2 so majina hayajafika heslb