...JD..sitaki kumbuka zamani

...JD..sitaki kumbuka zamani

Tanuru analolipitia JD ni Mungu mwenyewe mwenye kujua ukali wa maumivu yale!

Hivi kabla ya kumhukumu Gadna hebu tujaribu kuvuta hisia uone mwanamke kama JD ana tabia gani??? Mimi nikimuangalia ana tabia zifuatazo

1. Ana penda sana - kulingana na umri wake na umaarufu ku cheat ni ngumu hivyo inabidi akomae na mume wake
2. Basing on the above atakuwa ana wivu sana
3. Atakuwa ni mwanamke very possessive
4. Atakuwa mwanamke lonely - possibly hana marafiki wa kweli wa kike wa kuwa nao karibu
5. Atakuwa pia selfish kwasababu ya kutokuwa na mtoto
6. Huwa ni kind of the woman wanataka kuishi peke yake na mpenzi wake hata house girl anaona ji jam
7. Atakuwa pia very obsessive ambao character kama hizo kuishi na mtu pia ni ngumu, kila unachofanya wewe anaona unakosea
8. Atakuwa pia ni know all, wakati wewe una comment hawezi kusubiri anataka yeye aongea
9 Easy to get destructed, yani katofauti kidogo ni rahisi kumvuruga
10. Rahisi kuona anaonewa na kububujikwa na machozi.

Ni aina ya wanawake wagumu sana kuishi na mwanaume kwani wako too delegate labda mwanaume uamue kuwa full marioooo.
 
Tanuru analolipitia JD ni Mungu mwenyewe mwenye kujua ukali wa maumivu yale!

Kiboko kilichompiga.mwanamke mwenzie na yeye kapigwa tusisahau kwamba jamaa alikuwa anaishi na mwanamke kabla yake na mama wa yule bint wa G. mdada wa watu alihangaika kupata haki yake akakwama jamaa akamkana magazetini, chozi la yule dada halikuanguka bure limemrudia Jide, nampenda sana Jide sana kwa hili halijanigusa hata kidogo nahisi maulimivu aliyonayo ni makubwa na ndio yaliyo mpata mwenzie ndio hivyo
 
Tanuru analolipitia JD ni Mungu mwenyewe mwenye kujua ukali wa maumivu yale!

Kiboko kilichompiga.mwanamke mwenzie na yeye kapigwa tusisahau kwamba jamaa alikuwa anaishi na mwanamke kabla yake na mama wa yule bint wa G. mdada wa watu alihangaika kupata haki yake akakwama jamaa akamkana magazetini, chozi la yule dada halikuanguka bure limemrudia Jide, nampenda sana Jide sana kwa hili halijanigusa hata kidogo nahisi maulimivu aliyonayo ni makubwa na ndio yaliyo mpata mwenzie ndio hivyo
 
Back
Top Bottom