JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu

Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
DSE walikuwa na hali mbaya sana kipindi Cha Magufuli na Corona kwahiyo ilibiidi wamkubalie kila mtu kuingia lakini ukweli Jatu imeingia pre mature. Mtawapata sana wale wa Kilimo Cha PDF, ambao na Mr Kuku aliwapata. Lakini kwa mtu aliyewahi kulima gharama zetu ni kubwa mno na faida kiduchu.
 
Binafsi naomba niwaeleze watanzania na wengine wenye nia ya kujiunga na hii kampuni. Nimefanya nao kilimo kuanzia mwaka 2020/2021. Mavuno yalipaswa kuwa 2021. Nimeweka pesa nyingi kwao, nadhani kati ya wakulima 10 na mimi nimo.

Kwanza customer care yao sio nzuri. Yaani unasumbuka sana kufanya kitu cha kawaida. Wanapenda sana pesa ila unapohitaji huduma wanakusumbua sana. Kwa siku unaweza kuongea na watu kama 10 bila mafanikio.

Pili, kuna kila dalili za uongo kwenye kilimo chao. Mfano CEO wa hiyo kampuni anakaa anabadilisha simu. Yaani unaweza kuongea naye leo, kesho akawa na namba nyingine ya simu. Hii ni dalili ya kukwepa watu. Anaweza akawa anakwepa watu hili kuepuka usumbufu wa maswali ya ujinga lakini pia anaweza kuwa anakwepa watu sababu hana majibu.

Nimeongea na manager, CEO...hawa wote mtindo wao wa kukwepa watu ni mmoja tu. Hawawezi kukupa jibu lolote. Hii inaonesha kampuni yao ipo kupiga watu na si kilimo kama wanavyotangaza.

Mavuno ya mwaka huu 2021 yamefanyika ila hawakutangaza maharage wamepata nini...eti mpaka mwezi wa kumi. Sasa jipimie mwenyewe. Yaani unalima kitu kwa mwaka mmoja...pengine hutapata pesa yako mpaka baada ya miaka miwili. Ni nani huwa analima hivyo?

Sasa hivi wametangaza mazao yaliyopatikana kwenye mchele na mahindi. Cha ajabu sasa, wanakwepa simu za watu...yaani huwezi kupiga simu ukaulizia kwamba unataka kuuza mazao yako wakapokea au wakakwambia kitu chochote. Hi ni kuanzia kwa CEO (huyu huwezi kumpata), manager (huyu nadhani anadanganya tu) na wafanyakazi wa kawaida (hawa ndo basi)...yaani management ikiisha sasa wafanyakazi wafanye nini?

Kwa ufupi uhusiano wao na wewe ni pale unapopeleka pesa tu. Hakuna mahusiano zaidi ya hapo. Baada ya hapo huwapati tena. Manager huwa anadai yupo busy kwenye mikutano. Sasa swali ni kwamba, unafanya mikutano na kina nani kama unawakwepa wawekezaji wako?

Serikali ya Magufuli ilikuwa imeanza kuwachunguza. Ilidhani wanauzia watu mashamba ya maharage ambayo hawana. Kwa kuogopa walikuwa wamestisha kuwauzia watu. Baada ya Rais Magufuli kufariki, wakaaza kuwauzia tena watu. Nina wasi wasi kama kweli wana hekari za kutosha za maharage na inaonekana ndio maana hawakutangaza kiasi walichopata.

Kampuni ina kila adalili za ubabaishaji. Wewe hata usiende mbali. Mtafute manager wao..ongea naye kwa week 1. Utajua! Akishajua wamechukua pesa zako anakukwepa.

Nitaendelea kufatilia zaidi na kutoa update kadri ntakavyowasoma. Kwa sasa sitashauri watu wasiwekeze kwao. Ntasema tu watu wawe makini. Kama kuna kitu chochote ntakachojifunza zaidi chenye kunionesha mambo tofauti na haya niloandika ntakisema hapa. Ila kwa sasa, haya ndo nimeona. Hakuna kampuni duniani haithamini wawekezaji. Ukiona kampuni ya hivyo, ni dalili za uhuni.
 
Binafsi naomba niwaeleze watanzania na wengine wenye nia ya kujiunga na hii kampuni. Nimefanya nao kilimo kuanzia mwaka 2020/2021. Mavuno yalipaswa kuwa 2021. Nimeweka pesa nyingi kwao, nadhani kati ya wakulima 10 na mimi nimo.

Kwanza customer care yao sio nzuri. Yaani unasumbuka sana kufanya kitu cha kawaida. Wanapenda sana pesa ila unapohitaji huduma wanakusumbua sana. Kwa siku unaweza kuongea na watu kama 10 bila mafanikio.

Pili, kuna kila dalili za uongo kwenye kilimo chao. Mfano CEO wa hiyo kampuni anakaa anabadilisha simu. Yaani unaweza kuongea naye leo, kesho akawa na namba nyingine ya simu. Hii ni dalili ya kukwepa watu. Anaweza akawa anakwepa watu hili kuepuka usumbufu wa maswali ya ujinga lakini pia anaweza kuwa anakwepa watu sababu hana majibu.

Nimeongea na manager, CEO...hawa wote mtindo wao wa kukwepa watu ni mmoja tu. Hawawezi kukupa jibu lolote. Hii inaonesha kampuni yao ipo kupiga watu na si kilimo kama wanavyotangaza.

Mavuno ya mwaka huu 2021 yamefanyika ila hawakutangaza maharage wamepata nini...eti mpaka mwezi wa kumi. Sasa jipimie mwenyewe. Yaani unalima kitu kwa mwaka mmoja...pengine hutapata pesa yako mpaka baada ya miaka miwili. Ni nani huwa analima hivyo?

Sasa hivi wametangaza mazao yaliyopatikana kwenye mchele na mahindi. Cha ajabu sasa, wanakwepa simu za watu...yaani huwezi kupiga simu ukaulizia kwamba unataka kuuza mazao yako wakapokea au wakakwambia kitu chochote. Hi ni kuanzia kwa CEO (huyu huwezi kumpata), manager (huyu nadhani anadanganya tu) na wafanyakazi wa kawaida (hawa ndo basi)...yaani management ikiisha sasa wafanyakazi wafanye nini?

Kwa ufupi uhusiano wao na wewe ni pale unapopeleka pesa tu. Hakuna mahusiano zaidi ya hapo. Baada ya hapo huwapati tena. Manager huwa anadai yupo busy kwenye mikutano. Sasa swali ni kwamba, unafanya mikutano na kina nani kama unawakwepa wawekezaji wako?

Serikali ya Magufuli ilikuwa imeanza kuwachunguza. Ilidhani wanauzia watu mashamba ya maharage ambayo hawana. Kwa kuogopa walikuwa wamestisha kuwauzia watu. Baada ya Rais Magufuli kufariki, wakaaza kuwauzia tena watu. Nina wasi wasi kama kweli wana hekari za kutosha za maharage na inaonekana ndio maana hawakutangaza kiasi walichopata.

Kampuni ina kila adalili za ubabaishaji. Wewe hata usiende mbali. Mtafute manager wao..ongea naye kwa week 1. Utajua! Akishajua wamechukua pesa zako anakukwepa.

Nitaendelea kufatilia zaidi na kutoa update kadri ntakavyowasoma. Kwa sasa sitashauri watu wasiwekeze kwao. Ntasema tu watu wawe makini. Kama kuna kitu chochote ntakachojifunza zaidi chenye kunionesha mambo tofauti na haya niloandika ntakisema hapa. Ila kwa sasa, haya ndo nimeona. Hakuna kampuni duniani haithamini wawekezaji. Ukiona kampuni ya hivyo, ni dalili za uhuni.
Unachoongea ni kweli kuna dada alinishawishi sana kujiunga nao lakini kila nikimpiga maswali anakimbia nikaona dalili za upigaji
 
Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
Mr. Kuku alikua anafanya hivyo hivyo
 
Binafsi naomba niwaeleze watanzania na wengine wenye nia ya kujiunga na hii kampuni. Nimefanya nao kilimo kuanzia mwaka 2020/2021. Mavuno yalipaswa kuwa 2021. Nimeweka pesa nyingi kwao, nadhani kati ya wakulima 10 na mimi nimo.

Kwanza customer care yao sio nzuri. Yaani unasumbuka sana kufanya kitu cha kawaida. Wanapenda sana pesa ila unapohitaji huduma wanakusumbua sana. Kwa siku unaweza kuongea na watu kama 10 bila mafanikio.

Pili, kuna kila dalili za uongo kwenye kilimo chao. Mfano CEO wa hiyo kampuni anakaa anabadilisha simu. Yaani unaweza kuongea naye leo, kesho akawa na namba nyingine ya simu. Hii ni dalili ya kukwepa watu. Anaweza akawa anakwepa watu hili kuepuka usumbufu wa maswali ya ujinga lakini pia anaweza kuwa anakwepa watu sababu hana majibu.

Nimeongea na manager, CEO...hawa wote mtindo wao wa kukwepa watu ni mmoja tu. Hawawezi kukupa jibu lolote. Hii inaonesha kampuni yao ipo kupiga watu na si kilimo kama wanavyotangaza.

Mavuno ya mwaka huu 2021 yamefanyika ila hawakutangaza maharage wamepata nini...eti mpaka mwezi wa kumi. Sasa jipimie mwenyewe. Yaani unalima kitu kwa mwaka mmoja...pengine hutapata pesa yako mpaka baada ya miaka miwili. Ni nani huwa analima hivyo?

Sasa hivi wametangaza mazao yaliyopatikana kwenye mchele na mahindi. Cha ajabu sasa, wanakwepa simu za watu...yaani huwezi kupiga simu ukaulizia kwamba unataka kuuza mazao yako wakapokea au wakakwambia kitu chochote. Hi ni kuanzia kwa CEO (huyu huwezi kumpata), manager (huyu nadhani anadanganya tu) na wafanyakazi wa kawaida (hawa ndo basi)...yaani management ikiisha sasa wafanyakazi wafanye nini?

Kwa ufupi uhusiano wao na wewe ni pale unapopeleka pesa tu. Hakuna mahusiano zaidi ya hapo. Baada ya hapo huwapati tena. Manager huwa anadai yupo busy kwenye mikutano. Sasa swali ni kwamba, unafanya mikutano na kina nani kama unawakwepa wawekezaji wako?

Serikali ya Magufuli ilikuwa imeanza kuwachunguza. Ilidhani wanauzia watu mashamba ya maharage ambayo hawana. Kwa kuogopa walikuwa wamestisha kuwauzia watu. Baada ya Rais Magufuli kufariki, wakaaza kuwauzia tena watu. Nina wasi wasi kama kweli wana hekari za kutosha za maharage na inaonekana ndio maana hawakutangaza kiasi walichopata.

Kampuni ina kila adalili za ubabaishaji. Wewe hata usiende mbali. Mtafute manager wao..ongea naye kwa week 1. Utajua! Akishajua wamechukua pesa zako anakukwepa.

Nitaendelea kufatilia zaidi na kutoa update kadri ntakavyowasoma. Kwa sasa sitashauri watu wasiwekeze kwao. Ntasema tu watu wawe makini. Kama kuna kitu chochote ntakachojifunza zaidi chenye kunionesha mambo tofauti na haya niloandika ntakisema hapa. Ila kwa sasa, haya ndo nimeona. Hakuna kampuni duniani haithamini wawekezaji. Ukiona kampuni ya hivyo, ni dalili za uhuni.
Nimepiga kambi hapa
 
Na kwenye kuuza hisa za buku 5 make naona wamajitahid kupromote
 
Binafsi naomba niwaeleze watanzania na wengine wenye nia ya kujiunga na hii kampuni. Nimefanya nao kilimo kuanzia mwaka 2020/2021. Mavuno yalipaswa kuwa 2021. Nimeweka pesa nyingi kwao, nadhani kati ya wakulima 10 na mimi nimo.

Kwanza customer care yao sio nzuri. Yaani unasumbuka sana kufanya kitu cha kawaida. Wanapenda sana pesa ila unapohitaji huduma wanakusumbua sana. Kwa siku unaweza kuongea na watu kama 10 bila mafanikio.

Pili, kuna kila dalili za uongo kwenye kilimo chao. Mfano CEO wa hiyo kampuni anakaa anabadilisha simu. Yaani unaweza kuongea naye leo, kesho akawa na namba nyingine ya simu. Hii ni dalili ya kukwepa watu. Anaweza akawa anakwepa watu hili kuepuka usumbufu wa maswali ya ujinga lakini pia anaweza kuwa anakwepa watu sababu hana majibu.

Nimeongea na manager, CEO...hawa wote mtindo wao wa kukwepa watu ni mmoja tu. Hawawezi kukupa jibu lolote. Hii inaonesha kampuni yao ipo kupiga watu na si kilimo kama wanavyotangaza.

Mavuno ya mwaka huu 2021 yamefanyika ila hawakutangaza maharage wamepata nini...eti mpaka mwezi wa kumi. Sasa jipimie mwenyewe. Yaani unalima kitu kwa mwaka mmoja...pengine hutapata pesa yako mpaka baada ya miaka miwili. Ni nani huwa analima hivyo?

Sasa hivi wametangaza mazao yaliyopatikana kwenye mchele na mahindi. Cha ajabu sasa, wanakwepa simu za watu...yaani huwezi kupiga simu ukaulizia kwamba unataka kuuza mazao yako wakapokea au wakakwambia kitu chochote. Hi ni kuanzia kwa CEO (huyu huwezi kumpata), manager (huyu nadhani anadanganya tu) na wafanyakazi wa kawaida (hawa ndo basi)...yaani management ikiisha sasa wafanyakazi wafanye nini?

Kwa ufupi uhusiano wao na wewe ni pale unapopeleka pesa tu. Hakuna mahusiano zaidi ya hapo. Baada ya hapo huwapati tena. Manager huwa anadai yupo busy kwenye mikutano. Sasa swali ni kwamba, unafanya mikutano na kina nani kama unawakwepa wawekezaji wako?

Serikali ya Magufuli ilikuwa imeanza kuwachunguza. Ilidhani wanauzia watu mashamba ya maharage ambayo hawana. Kwa kuogopa walikuwa wamestisha kuwauzia watu. Baada ya Rais Magufuli kufariki, wakaaza kuwauzia tena watu. Nina wasi wasi kama kweli wana hekari za kutosha za maharage na inaonekana ndio maana hawakutangaza kiasi walichopata.

Kampuni ina kila adalili za ubabaishaji. Wewe hata usiende mbali. Mtafute manager wao..ongea naye kwa week 1. Utajua! Akishajua wamechukua pesa zako anakukwepa.

Nitaendelea kufatilia zaidi na kutoa update kadri ntakavyowasoma. Kwa sasa sitashauri watu wasiwekeze kwao. Ntasema tu watu wawe makini. Kama kuna kitu chochote ntakachojifunza zaidi chenye kunionesha mambo tofauti na haya niloandika ntakisema hapa. Ila kwa sasa, haya ndo nimeona. Hakuna kampuni duniani haithamini wawekezaji. Ukiona kampuni ya hivyo, ni dalili za uhuni.

 
kuna kampuni nyingine inajihusisha na kilimo cha vanilla ni harufu ya utapeli
Hawa watu wa Vanilla Village wa hapo Njombe nao ni hao hao. Kuna wastaafu fulani wamewekeza na hawa Vanilla Village kwa kuingia nao mkataba wa kuwalimia vanilla kwa njia ya Greenhouse, mkataba wa thamani ya Shs.33mi/-; LAKINI kitu cha ajabu ni kuwa hawawapi huduma sitahiki, ni ubabaishaji tu hata zile huduma basic kama kufungia na kunyweshea hiyo miche hawafanyi! Pia nimebahatika kuuona huo mkataba ni wa kunufaisha upande mmoja tu - wa Vanilla Village International, kama wanavyo jiita!

Naandika haya kwani nami nilihamasika sana na huu mradi hasa hiyo bei ya Shilingi Milioni moja kwa KILO YA VANILLA! Hivyo nikafanya utafiti kwa kuwatumia rafiki zangu wa huko huko ambao walikwenda hadi kijiji zilipo ofisi ndogo na mashamba vanilla hapo Vanill Village na kugundua uongo na ujanja ujanja mwingi sana. Kwa haya machache, sisemi msiwekeze nao, bali fanyeni utafiti na mjiridhishe na hayo wasemayo na wayatangazayo siku hizi!
 
Mwaka jana nilipitia mchakato wao wote, kuanzia kujiunga mpaka mwisho. Nikagundua hawa jamaa ni "wezi wajanja".

Nikisema "wezi wajanja" namaanisha kwamba wao wanakuibia kwa kukuongezea "gharama" za kilimo kuanzia kujiunga nao, kukukodishia shamba, kukulimia, kukutunzia yaani mchakato mzima halafu mazao wananunua wenyewe kwa bei ya kukupiga. Mwishoni unaletewa kafaida kiduchu sana.

Nikaamua kufanya utafiti wangu binafsi na kugundua kwamba ukilima mwenyewe unapata faida kubwa sana ili mradi tu uwe na muda na ufuate utaalamu wa kilimo.

Kilimo kinahitaji muda na close supervision. Kama unao muda wa kutosha kilimo kinalipa mbaya sana.

Sasa wanaopigwa na JATU ni wale watu ambao wanapesa za kuwekeza kwenye kilimo lakini hawana muda wa kusimamia mashamba. Hao ndiyo JATU inawalenga na wanapigwa kweli kweli siyo mchezo.

JATU hawakupigi mazima bali wanakuletea faida ndogo sana tena sana. Mwisho wa siku wao ndiyo wanafaidika zaidi.
Akili kumkichwa.
Na hapo inatakiwa ununue bidhaa zao kima cha chini ni Tsh 30,000/=. mwisbo wa siku na wewe unakuwa myeja wa bishaa zako au zenu.
 
Mkuu hivi nikienda pale kwenye listed companies za DSE nitajuaje kama company hii ipo kwenye IPO period.
Hakuna faida kuwekeza DSE, kwa lugha rahisi tuambizane ukweli. DSE wenyewe ni madarali wanapost hata clip za Mr. Liquid anaipigia kampeni Jatu. Kampuni kuwa IPO ndio kwanza inaingia soko la hisa ukiwa unafatilia taarifa hizi kupitia DSE na kwingine utajua. Ni kama mashabiki wa mpira wanavyojua mkataba wa fulani unaisha msimu huu
 
Back
Top Bottom