Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Mimi nafanya kilimo hivyo najua gharama zote za kuanzia kwenye kulima mpaka kuuza mazao.Udogo na ukubwa wa faida unaupima kwa vigezo vipi? Ukinipa m100 yako nikawekeze shambani kwa gharama zangu kisha nikakurudishia m101 na mm nikachukua m29 ya faida unapimaje kuwa ni unyonyaji iwapo huna ushiriki katika utendaji?
Unawalaumu DSE bure, kabla ya mwekezaji kununua hisa inabidi yy afanye uchunguzi au awatumie wataalam ili ajue kama uwekezaji wake utamlipa. Kosa sio la dse kosa ni watu kuwekeza kwa kukurupuka. DSE wana conditions zao kama ilivyo NASDAQ au NSE na yyt anaetimiza conditions basi ana haki ya kuwa listed mule.It is unfortunate kwamba watu wanategeka kwavile JATU wako listed kwenye DSE!!! Unaponunua hisa ni muhimu sana kuwachunguza management ya hiyo kampuni inayouza hizo hisa!!! DSE as is currently constituted Haifa watu wenye Weledi wa kutosha kuzichunguza kampuni zinazoingia kwenye Sokoine lao kuwa kweli Wana vigezo vya kuweza kuwafaidisha wanahisa wao!!! Hapo ndio maana watu wanapigika kwani Viongozi wa DSE wanapasisha PONZI schemes kama acceptable investors!!
DSE wana conditions zao kama ilivyo NASDAQ au NSE na yyt anaetimiza conditions basi ana haki ya kuwa listed mule.
Mkulima nikikupa pesa uache kazi zote ukashinde shamba ukishavuna wewe ndo ununue utajua utapopeleka utaniletea faida % kiasi gani cha fedha nilichokupa ?Mimi nafanya kilimo hivyo najua gharama zote za kuanzia kwenye kulima mpaka kuuza mazao.
Ukisimamia shamba lako wewe mwenyewe faida ni kubwa sana tena sana kuliko kujiunga na hao wahuni wa JATU.
Bahati nzuri niliwashitukia mapema, niliposoma mchakato wao nikagundua hao ni "wanyonyaji" maana uzoefu wa kilimo ninao.
Elimu elimu, tupende kusoma kuuliza hata kama tutatukanwa, tusiogope kushambuliwa.Unawalaumu DSE bure, kabla ya mwekezaji kununua hisa inabidi yy afanye uchunguzi au awatumie wataalam ili ajue kama uwekezaji wake utamlipa. Kosa sio la dse kosa ni watu kuwekeza kwa kukurupuka. DSE wana conditions zao kama ilivyo NASDAQ au NSE na yyt anaetimiza conditions basi ana haki ya kuwa listed mule.
Tatizo hii jatu naona inapigiwa promo hadi na millardayo, kitu ambacho kinafanya wengi wanunue kwa kufuata mkumbo tu. Shida kubwa ni ukosekanaji wa elimu ya uwekezaji kwa wananchi, hayo mengine utalaumu watu bure.
Bonds(hati fungani) ni option nzr sana, uwe na mtaji tu.Elimu elimu, tupende kusoma kuuliza hata kama tutatukanwa, tusiogope kushambuliwa.
Tusipende kuhadithiwa hata tukihadithiwa basi za kuambiwa uchanganye kidogo na za kwako.
Binafsi nimejifunza SANA, hisa sitonunua tena, soko letu kuna kitu mahali hakijakaa fresh. BORA nijichange niende kule kwenye hati fungani.
Everyday is Saturday...............................
Hati fungani nako majangaElimu elimu, tupende kusoma kuuliza hata kama tutatukanwa, tusiogope kushambuliwa.
Tusipende kuhadithiwa hata tukihadithiwa basi za kuambiwa uchanganye kidogo na za kwako.
Binafsi nimejifunza SANA, hisa sitonunua tena, soko letu kuna kitu mahali hakijakaa fresh. BORA nijichange niende kule kwenye hati fungani.
Everyday is Saturday...............................
Dadavua mkuu!hati fungani nako majanga
Ukicompare na hisa, hati fungani ni bora.hati fungani nako majanga
Mkuu hati fungani ukitaka hela yako insrudi kwa wakati au mpka uzungushwe?Ukicompare na hisa, hati fungani ni bora.
Ziwe bonds za serikali au za makampuni
mwekezaji ana uhakika wa kulipwa kabla ya wanahisa endapo kampuni likifirisika.
Pia bonds hazishuki thamani, labda uanze kuongelea issue ya inflation
Hii mbaya sana.Sasa hivi wanapita masokoni/mitaani na mfuso wao(kama mashirika ya simu) ....wanapiga muziki na kuuza hisa kwa shs 5000. ...sijui kama wanaoshawishiwa wanalewa kitu wanachoshawishiwa kununua.
Sijaridhika ngoja nicheke vizuri πππππππKuna mtu anajiita JATU na yeye ana model kama ya Mr kuku, ile ya kwamba toa pesa ulimiwe na uvuniwe.
Huyu JATU kawavuta watu wengi sana mara mashamba Kitetto mara Morogoro.
Model anayo tumia ni ya upatu ni Pyramid ambapo watu wa mwanzo hufaidika ili kuvuta watu wa mwesho ambao huja kuwa victim.
Hawa watu huwa kujitangaza sana ndo jadi yao, kufanya mikutano kwenye hoteli kubwa kubwa ndo jadi yao ila zote hizo huwa ni mbinu za kuvuta watu waingie wapigwe pesa.
Kama JATU anaona kilimo kinalipa kwa nini asiingie akalima pekee akapiga pesa? Kwa nini asichukue mkopo alime huko kiteto apige pesa? Mbona Summury analima pekee yake huko kwao Sumbawanga?
Watu wawe makini na hizi Pyramidi za kwamba toa pesa ulimiwe. Kwa nini asilime yeye?
Mboma MO hawaiti watu wakalime katani huko Tanga? au mbona Interchick hawaambii watu waende wafuge wote kuku?
Jamani tujizidishe Watanzania tunapigwa kirahisi sana.
Nilitegemea ofisi zao kuwa shambani sasa wako mjini hapo nssf tower ππππOfisi zao Jatu PLC ziko jengo la PSSSF lililokuwa PPF House makao makuu. Ni makutano ya Barabara ya Morogoro na Samora. Story zao ni too sweet to be sour. Walinipa somo bahati mbaya wakanikuta ninaelewa mno na niliwapa challenge sana wakakosa majibu ya msingi. Nikajua iko siku watu watalizwa.