Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,073
Mimi nafanya kilimo hivyo najua gharama zote za kuanzia kwenye kulima mpaka kuuza mazao.Udogo na ukubwa wa faida unaupima kwa vigezo vipi? Ukinipa m100 yako nikawekeze shambani kwa gharama zangu kisha nikakurudishia m101 na mm nikachukua m29 ya faida unapimaje kuwa ni unyonyaji iwapo huna ushiriki katika utendaji?
Ukisimamia shamba lako wewe mwenyewe faida ni kubwa sana tena sana kuliko kujiunga na hao wahuni wa JATU.
Bahati nzuri niliwashitukia mapema, niliposoma mchakato wao nikagundua hao ni "wanyonyaji" maana uzoefu wa kilimo ninao.