JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu

Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
Bora ungekaa kimya
 
Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
Wale wale
 
Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
Wanajamvi mpeni muongozo.

NB: Nimegundua matapeli wanatumia akili sana katika kazi zao.
 
Ndo tatizo la kuwa na uelewa mdogo..... kama mnayosema ni kweli basi DSE ni matapeli, na Capital Makets and securities Authority cmsa ni matapeli. kuna auditinf firms humo ndani na wao ni matapeli, kuna nomad ( Nominated Advisor) nae ni Tapeli.


stupidity
/stʃʊˈpɪdɪti,stʃuːˈpɪdɪti,stjʊˈpɪdɪti,stjuːˈpɪdɪti/
Learn to pronounce
noun
behaviour that shows a lack of good sense or judgement.
Kila la kheri mkuu.

Siku nyingine usijibizane na Stupid
 
Wengi tuko huku pembeni na stupidity zetu, mfano tulinunua mahisa ya Precisionair, mwaka wa 10, loss no dividends, na mahisa hayauziki. Ile hela tumewahonga wanaume wenzetu. CMSA DSE wapo!

Everyday is Saturday............................... :cool:
Poleni sana wakuu.
 
Ndo tatizo la kuwa na uelewa mdogo..... kama mnayosema ni kweli basi DSE ni matapeli, na Capital Makets and securities Authority cmsa ni matapeli. kuna auditinf firms humo ndani na wao ni matapeli, kuna nomad ( Nominated Advisor) nae ni Tapeli.


stupidity
/stʃʊˈpɪdɪti,stʃuːˈpɪdɪti,stjʊˈpɪdɪti,stjuːˈpɪdɪti/
Learn to pronounce
noun
behaviour that shows a lack of good sense or judgement.
Mimi nawaelewa sana kwasababu biashara yenu ni tangible na inaonekana.

Tatizo langu siiamini kabisa business model mnayotumia ( Network marketing ).

Unless mtakuja kubuni aina nyingine, network marketing business model does'nt work in the long run.
 
Mimi nawaelewa sana kwasababu biashara yenu ni tangible na inaonekana.

Tatizo langu siiamini kabisa business model mnayotumia ( Networking ).

Unless mtakuja kubuni aina nyingine, network marketing business model does'nt work in the long run.
Network marketing kama hii hii ya Qnet na FOREVER??
Basi sawa! Wanufaika ni rahisi kuwafahamu

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Poleni sana wakuu.
Asante, hivi vitu ukivisoma SANA, utakuja kugundua ni kama FOREX kuna mambo ya insider info, tusione watu wanatembelea range rover sports, kwa kuwa wana vikundi vya kibinafsi ndani yake. Wanufaika.

Ukiangalia hisa za NMB inayotengeneza faida haziuziki, ila ghafla mfano jana zimeuzwa za thamani ya 1.4Bn.

Everyday is Saturday............................ :cool:
 
Asante, hivi vitu ukivisoma SANA, utakuja kugundua ni kama FOREX kuna mambo ya insider info, tusione watu wanatembelea range rover sports, kwa kuwa wana vikundi vya kibinafsi ndani yake. Wanufaika.

Ukiangalia hisa za NMB inayotengeneza faida haziuziki, ila ghafla mfano jana zimeuzwa za thamani ya 1.4Bn.

Everyday is Saturday............................ :cool:
Ndio maana nimesema hawa wanatumia akili sana, wanaweka mipango ambayo inachukua wakija kufanikiwa ni kulipua Bomu ndani ya sekunde na kuleta madhara makubwa.

Huu uhamasishaji wanaoufanya kwa kila mbinu sio wa mchezo mchezo.

Tuendelee kuelimishana ili tusiendelee kuumizwa
 
Sio Fact ni mawazo yako lakini mara nyingine mawazo yanakuwa sahii..sijui lengo la jatu ni nini Kama lengo ni kuwa tajili sijaona haja yakuomba kampani ya kipesa kwa watu kwa mfumo wa uwekezaji Tena kwa bei raisi pia kwa soko la bongo kuhusu kilimo tunabet so asitake kutuaminisha Kama nchi ya baba ake.
 
Hawa jamaa mwanzoni walianza taratibu pasipo kujitangaza kivile, ila sasa naona sijui taasisi yao imeimarika au ndio fursa kwao zimeongezeka...

Anyway wakati mwingine ili ufanikiwe unatakiwa uingie kwenye calculated risks...

Weka mpunga kidogo, sikilizia or else achana nao kalime mwenyewe vitunguu Ruaha au Singida huko
 
ndo zinauzwa 500 siyo?
Walianzia 500 kuna siku zilikuwa DSE zinauzwa mpaka zaidi ya 1200, bei iliyokomea juzi kati.
Kwa mantiki hii, mimi nikinunua hisa 1,000 kwa 500, ni 500,000, nikiziuza kwa bei ya 1,500 napata 1,500,000..bei ikishuka kuwa 1,200 nanunua tena napata hisa zangu 1,000.

Trend yake binafsi nilikuwa sijui kama kulikuwa kumejaa speculators au??

Ila hivi vitu muhimu SANA kusoma, na watz hatuna utamaduni wa kusoma, tunapenda kuhadithiwa, tukisimuliwa, hatuchuji, ndiyo maana jamaa wa tuma kwenye namba hawawezi kuisha.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Aisee umewaza kama mimi vile leo nimetoka kuona tangazo lao la kununua hisa kwa alfu tano nikawaza tu huyu ni mr kuku mwingine
Kuna mtu anajiita JATU na yeye ana model kama ya Mr kuku, ile ya kwamba toa pesa ulimiwe na uvuniwe.

Huyu JATU kawavuta watu wengi sana mara mashamba Kitetto mara Morogoro.

Model anayo tumia ni ya upatu ni Pyramid ambapo watu wa mwanzo hufaidika ili kuvuta watu wa mwesho ambao huja kuwa victim.

Hawa watu huwa kujitangaza sana ndo jadi yao, kufanya mikutano kwenye hoteli kubwa kubwa ndo jadi yao ila zote hizo huwa ni mbinu za kuvuta watu waingie wapigwe pesa.

Kama JATU anaona kilimo kinalipa kwa nini asiingie akalima pekee akapiga pesa? Kwa nini asichukue mkopo alime huko kiteto apige pesa? Mbona Summury analima pekee yake huko kwao Sumbawanga?

Watu wawe makini na hizi Pyramidi za kwamba toa pesa ulimiwe. Kwa nini asilime yeye?

Mboma MO hawaiti watu wakalime katani huko Tanga? au mbona Interchick hawaambii watu waende wafuge wote kuku?

Jamani tujizidishe Watanzania tunapigwa kirahisi sana.
 
Hawa jamaa mwanzoni walianza taratibu pasipo kujitangaza kivile, ila sasa naona sijui taasisi yao imeimarika au ndio fursa kwao zimeongezeka...

Anyway wakati mwingine ili ufanikiwe unatakiwa uingie kwenye calculated risks...

Weka mpunga kidogo, sikilizia or else achana nao kalime mwenyewe vitunguu Ruaha au Singida huko
Huwezi list kampuni pale DSE bila kutimiza vigezo.
 
Kampuni yoyote kabla ya kuwa listed lazima itambulike na CMSA kwa kufuata taratibu zote
Lazima kampuni ile itambulike na DSE,
kuna baadhi ya vigezo ambavyo JATU ilipitia wakati wa mchakato wa listing tena kwenye EGM ( enterorise Growth market)
1.issued na paid capital ni lazima iwe 200 million
2.working capital lazima iwe ya zaidi ya miezi 12
3. incorporation status lazima iwe active- imesajiliwa brela na ina vibali vyote
4. kuwe na 5 years Business Plan na independent technical feasibility
5. Period moratorium ni 3 years
6. Financial statement lazima ziwe IFRS compliant
7. certificate of comfort - hii inatoka kwenye regulating institution ,zitakazosema JATU anafanya biashara halali
8. Composition of board of directors - hapa lazima kuwe na Non executive directors
9. clear dividend policy - Policy ya maswala ya mgao kila mwaka
10.Publication in the press

Suspension ya JATU ni kupisha IPO inayofanyika mwezi mzima HUu, then kuna mshamba anakuwekea tu suspension bila kuelewa ni nini.
Hapa kuna watu hawaelewi hata Business plan za JATU ndo maana wanahisi wanalimiwa tu. hawa huwa wanaangalia mnyororo wa kilimo
na hata pesa wanayokusanya ambayo ni hisa 15,00,000 kila hisa moja ni tsh 500 . kufikia thamani ya 7.5 Billion Tzs ni kufanya upanuzi kwenye viwanda vyao.

kuna kiwanda cha unga kibaigwa dodoma
kiwanda cha kuchakata mpunga mbingu, kilombero morogoro
kiwanda cha kilindi - tanga kwa ajili ya maharage

View attachment 1813731


wana JATU MARKET Jatu Market - Apps on Google Play
app ambayo wanauza bidhaa zao zote wanazotengeneza, lakini huwa wanasupply kwa maduka ya jumla (distribution chain)

ukiangalia kwenye mnyororo wa thamani, wanatap kuanzia shambani mpaka kwa mlaji

View attachment 1813730

Bado kuna bwege huko Juu anaandika kwamba JATU ni MR.KUKU! no research no right to speak. acheni kutaka kukandamiza kampuni za watanzania wenzenu! How is this a pryamid scheme? njoo tupigane spana kwa hoja sio Umbeya.



PFA : JATU PROSPECTUS , JATU FINANCIALS FOR 3 YEARS
Mkuu hao wapiga soga achana nao heb tupe maelezo ya namna ya kufaidika na hisa za hii kampuni kma nikitaka kuwa mwanahisa....hz kelele achana nazo humu tupo watu wa aina tofauti,kila mtu anawaza kivyake na kila mtu anakula kwake,hapa tumekutana tu....lete vitu mkuu!!
 
Back
Top Bottom